Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,001
- 9,866
Kwa hiyo kutakuwepo na kagwaride kadogo ka jeshi la wananchi wa Tanzania au ataapishwa tu kama Waziri wa Nishati.
Sawa Amepita kwa 100% hahaaa yaani hadi mdee kapiga ndioooooo!! Bunge la "MANINYA".
Huu ushindi wa asilimia 100 unaonyesha wazi ni tatizo kwa huyo VP.
kwa hiyo tuwasamehe kina Harry James! Maana matamko yao ya kudunga watu sindano za sumu yalikuwa influenced na aina ya uongozi?Hongera kwake. Rais na Makamu wake nawaona wote wanamuonekano wa upole na usikivu, yale matamko ya hovyo ya Mpango wakati ule nadhani yalikuwa influenced zaidi na aina ya kiongozi aliyekuwepo, sitashangaa nikimuona tofauti wakati huu, ok sura ni ile ile, lakini maneno na matendo yake yanaweza badilika.
Mpango atulie sasa. Aache propaganda na makeke ya kigufuli gufuli. Akae kiserikali na siyo kichama. Akae mkao na mwenendo wa Samia Suluhu Hassan.Itakuwa vyema kama Mama Samia na serikali yake watabaki Dodoma kuliko kuhamia tena Dar.
Hongera zake makamu wa Rais.
Ni uchaguzi mzuri.
Umagufuli bila Magufuli nauona huoooo
Poor thinking capacity ulisheleweshwa wapi?????????? kupelekwa jandoni? ongea point KijanaDaaahh, mambo mengi muda mchache.
Jiwe alituchelewesha sana, au nasema uongo ndugu zangu?