Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 18,618
- 20,946
Infact Nimetokea sana kuvutiwa na utendaji wake katika nafasi aliyonayo,upole,hekima,busara zake...!
Allah ampe heri arejee swalama wa salmini mama yetu,atakuwa yupo kikazi nchi gani yarabii.Kweli kabisa wengi tunavutiwa sana na urembo wake, anavyoongea, na upole. Safari zoote za nje anatumwa na JPM amuwakilishe. Kwahiyo mara nyingi yuko safari
Hatupo huko sheikh wangu..Vipi 2020 achukue form? Maana unavutiwa naye.. Kiutendaji
Huyo jamaa huwa ni mwongo sana I DONT TRUST THAT MAN..!/ and we should not trust that man.Kigogo wa Twitter alisema huyu mama alipewa sumu akaknizwa cuba
unajisikiaje kumsifia mke wa mwanaume mwenzio namna hiyo?wako hakuridhishi?Lakini mama Samia ni mzuri wa sura tena na hayo macho? Khaaa! Hivi alipokuwa msichana alikuwaje? Hivi hakuna mtu mwenye picha za alipokuwa msichana miaka kati ya 15 na 21 atuletee?
Hata hivyo kutokana na sura gumegume ya JIWE bora ukiangalia Mama yetu Samia unaingiwa na tabasamu.
Vipi 2020 achukue form? Maana unavutiwa naye.. Kiutendaji
Sisi tunaruhusiwa kusifu na kupongeza tu,haturuhusiwi KUTAMANI.unajisikiaje kumsifia mke wa mwanaume mwenzio namna hiyo?wako hakuridhishi?
Huyo Bimkubwa Sijawahi Kumsikia Akiongea Neno Lolote Baya Kuhusu Wapinzani. Huyu na yule jamaa Wa Ruangwa.
Sisi Wakanda tunasema Tunawapenda Sana.
wakat anachukua hawi makamuMkuu hujui katiba yetu hairuhusu makamu wa rais kugombea urais labda ahamie Zanzibar.
Sent using Jamii Forums mobile app
Alishasema yeye ni namba mbili kwa nini akimbilie kuwa namba tatuMkuu hujui katiba yetu hairuhusu makamu wa rais kugombea urais labda ahamie Zanzibar.
Sent using Jamii Forums mobile app