mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,760
- 35,205
Sijui wamekula maharage ya wapi hawa🤣🤣🤣Waeleze hao nyumbu waelewe. Hawajui kila mkoa na wilaya kuna ikulu ya Rais?" hawa jamaa bhana kha....
Sijui wamekula maharage ya wapi hawa🤣🤣🤣Waeleze hao nyumbu waelewe. Hawajui kila mkoa na wilaya kuna ikulu ya Rais?" hawa jamaa bhana kha....
Nadharia mfu..!Kwani rais ni kiongozi wa nani na anafanya kazi za nani☺☺☺ au tuseme office ni zako basi na rais anakufanyia wewe kazi😂😂😂
We aliyekuroga kafa unawaza cdm tu au mmeo ni kamanda from ufipa streetKwani katiba haijafuatwa? Nyie makamanda uchwara sasa mmebaki kuwa wambea mbea tu kama Antipas Mughwai.
Kwako weweNadharia mfu..!
'Wapinga maendeleo' ndio umebaki msamiati wenu proMagufuli.Kwako wewe
Huku iko hai na inawapa hekaheka wapinga maendeleo
Unamuonea bure dada Ummy.Ndiyo....matendo yako yanaongea zaidi
Safi sana ila tu aangalie mipaka ya mamlaka ya kukaimu.Aboud Jumbe alikaimu na akamuweka mtu kizuizini na ikawa shughuli.
Wanasheria tuwekeeni hii kesi hapa.
Haya mheshimiwa...Leo mmejadil nini hapo dodoma, NEMC yenyewe haiendi Chato...Unamuonea bure dada Ummy.
Mimi sio yeye... mimi ni mama D
Thubutu, huyu ni kada 'fulani' anayetafuta connection 'fulani' kwa wala keki ya taifa.. Hana nyadhifa hiyo!Wew mama D utakua ndiyo Ummy Mwalimu
Au nasema uwongo proMagu? Here I go!Una uhakika?
Ni kweli ile ya Jumbe ilileta mgogor kidogo wa kisheria kwa vile makamo wa rais huwa hana mamlaka ya kutia watu kizuizini. Ila ilionekana kuwa wakati akiwa anakaimu nafasi ya rais, huwa hafanyi maamuzi kama makamo wa rais tena bali hufanya hivyo kama rais na kuwa na mamlaka yote ya rurais. Inatisha, kwa sababu wakati anapokuwa anakaimu anaweza kuamua kuwa rais aitwe kizuizini!Safi sana ila tu aangalie mipaka ya mamlaka ya kukaimu.Aboud Jumbe alikaimu na akamuweka mtu kizuizini na ikawa shughuli.
Wanasheria tuwekeeni hii kesi hapa.
Thubutu, huyu ni kada 'fulani' anayetafuta connection 'fulani' kwa wala keki ya taifa.. Hana nyadhifa hiyo!
Au nasema uwongo proMagu? Here I go!
Shida gani mae!?Kuna shida mahali sema tu hawasemi
Never.Bado unaumia!?
OkNever.
Nampongeza Rais Mhe. Dr. Magufuli kwa kumpa Makamu wa Rais Mhe. Samia nafasi ya kuendesha Baraza la Mawaziri mara kwa mara. Kuna Makamu wengine hawakuwahi kupata fursa hizo. Team work ya Rais, Makamu wa Rais na Waziri Mkuu ni kubwa Sana. Pia mihimili yote inafanya kazi kama siafu! Big up Rais Magufuli baba lao!Hii ni taarifa rasmi kutokea makao makuu ya nchi Dodoma, Kikao hicho cha Baraza la Mawaziri kimefanyika leo na kuongozwa na Mama Samia.
Sema ukweli,Mzee Baba anachemska kwa kila afanyacho.Katiba inaeleza kuwa Rais ndiye Mwenyekiti wa Baraza LA Mawaziri,sijawahi kuona kifungu kinachompa Makamu jukumu hill.Naweza kusahihishwa.Sio kweli, ofisi anazofanyia kazi ni za umma na si zake kama unavyojiaminisha.