Uzalendo Wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 635
- 1,000
Hii ni taarifa rasmi kutokea makao makuu ya nchi Dodoma, Kikao hicho cha Baraza la Mawaziri kimefanyika leo na kuongozwa na Mama Samia.

Safi sana ila tu aangalie mipaka ya mamlaka ya kukaimu.Aboud Jumbe alikaimu na akamuweka mtu kizuizini na ikawa shughuli.Hii ni taarifa rasmi kutokea makao makuu ya nchi Dodoma
Kikao hicho cha Baraza la Mawaziri kimefanyika leo na kuongozwa na Mama Samia
Watu mna nongwa kha! Lipi jema kwenu?Hicho kikao ni formalties tu...maamuzi ya mwisho ni from Chato....
Makamu wa rais asipofanya kazi za serikali mnasema, akifanya nayo maneno.....Mzee bado yupo kufukizwa kule naniliii
Tunaulizia tu jamani kwani vibaya kufahamu baba yuko wapi? Kama yupo safarini si tunambiwa tu jamani ili tuagize ata pipiWatu mna nongwa kha! Lipi jema kwenu?...
Ni mgawanyo wa madaraka tuMzee vipi huko Chato?
Baba yuko Officin kwake Chato bado, si uliona vile Maalim seif alivyofurahia kufika kuleTunaulizia tu jamani kwani vibaya kufahamu baba yuko wapi???? Kama yupo safarini si tunambiwa tu jamani ili tuagize ata pipi![]()
Baba banaanahofithi nyinji sanaaa
chato vs chamwino.
![]()
Kwa hiyo?Hii ni taarifa rasmi kutokea makao makuu ya nchi Dodoma, Kikao hicho cha Baraza la Mawaziri kimefanyika leo na kuongozwa na Mama Samia.
Ni jambo jema!Hii ni taarifa rasmi kutokea makao makuu ya nchi Dodoma, Kikao hicho cha Baraza la Mawaziri kimefanyika leo na kuongozwa na Mama Samia.
Eti ee? hapo kwenu (sio kwako maana najua huna mji) kuna wagonjwa wangapi?ukiona jamaa kajichimbia chatoo jua hali ya korona part 2 sio nzuri nchini!.
Sio kweli, ofisi anazofanyia kazi ni za umma na si zake kama unavyojiaminisha.Baba ana office popote alipo ndani ya Tanzania ☺☺
Halafu kuna watu wananuna kwa hilo![]()
Huo ni ushauli wa docta.kamuambia kwa afya yake aliyo nayo akiukwaa basi tunakula mchele..ukiona jamaa kajichimbia chatoo jua hali ya korona part 2 sio nzuri nchini!.
Kwani rais ni kiongozi wa nani na anafanya kazi za nani☺☺☺ au tuseme office ni zako basi na rais anakufanyia wewe kaziSio kweli, ofisi anazofanyia kazi ni za umma na si zake kama unavyojiaminisha.
Waeleze hao nyumbu waelewe. Hawajui kila mkoa na wilaya kuna ikulu ya Rais?" hawa jamaa bhana kha....Baba ana office popote alipo ndani ya Tanzania ☺☺
Halafu kuna watu wananuna kwa hilo![]()
Kuna taarifa umeiona humu JamiiForums na haifai kubaki mtandaoni?
Fanya hivi...
Unapata ugumu kuikumbuka akaunti yako? Unakwama kuanzisha akaunti?
Contact us