Kuna tatizo kubwa ndani ya ofisi ya Makamu wa Rais. Tatizo kubwa ni utendaji hafifu wa ofisi ya Mkurugenzi wa mazingira tanzania bara. Ktk mikutano kadhaa ambayo nimehudhulia ktk kanda hii, Sehemu kubwa ya wafadhili hawana imani na mkurugenzi aliyepo kwa sasa hivi. Mkurugenzi huyu anatambuliwa kama mtu fisadi mbele ya macho ya wahisani wa mazingira. Hali hii imekuwepo kwa muda mrefu lakini kwa sasa yaonekana kuumiza serikali baada ya serikali kumtambua rasmi kama Mkurugenzi wa mazingira. Hapo awali alikuwa mkurugenzi msaidizi na haikujionyesha sana.
Kihistoria kutoaminika kwa mtu huyu kulianza miaka ya 2010. Nikihudhulia mkutano mmoja pale Nairobi, mwenzetu mmoja toka moja ya taaisis mashuhuri zinazofadhili miradi ya mazingira, alionyesha masikitiko makubwa juu ya tabia ya bwana huyu, kwa kueleza kwamba alishadiriki kuomba rushwa ili aruhusu mradi wa mazingira. Hali hii ya malalamiko imeendelea kujionyesha na hivi karibuni pia nimesikia nikiwa ktk mkutano mwingine wa kimataifa.
Chonde Chonde kwa ofisi ya makamu wa rais! Mazingira inaendeshwa kwa pesa ya wafadhili. Tunaomba mtu huyu arekebishwe. Kama imeshindikana, tafuteni mtaalamu mwingine.
Kihistoria kutoaminika kwa mtu huyu kulianza miaka ya 2010. Nikihudhulia mkutano mmoja pale Nairobi, mwenzetu mmoja toka moja ya taaisis mashuhuri zinazofadhili miradi ya mazingira, alionyesha masikitiko makubwa juu ya tabia ya bwana huyu, kwa kueleza kwamba alishadiriki kuomba rushwa ili aruhusu mradi wa mazingira. Hali hii ya malalamiko imeendelea kujionyesha na hivi karibuni pia nimesikia nikiwa ktk mkutano mwingine wa kimataifa.
Chonde Chonde kwa ofisi ya makamu wa rais! Mazingira inaendeshwa kwa pesa ya wafadhili. Tunaomba mtu huyu arekebishwe. Kama imeshindikana, tafuteni mtaalamu mwingine.