Danny Jully
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 4,416
- 3,860
Nchi ikivamiwa? Hapo mtamkuta nyumbani kwa M7 mvunguni mwa kitanda.Siku wapinzani mkielewa kwamba jiwe ni mwepesi kama tishu
Ataondoka madarakani haraka sana zile mbwembe za kuzima bunge, kuwaweka ndani na kuwapiga risasi
Halafu anakimbia mafua ni dalili tosha kuwa Rais ana hofu sana na ni muoga anaogopa kufa na ndio sifa za madicteta.
Siku nchi ikivamiwa sijui itakuwaje duh!
Sent using Jamii Forums mobile app