Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango atambue utendaji mbovu wa MSD umechangiwa na mambo haya

Aisee!!! Nimekuelewa.

Kwakweli ukiwa Kiongozi Mwenye dhamana Unatakiwa kuwa makini sana na wasaidizi wako kwasababu wengine watakuwa wanakuletea taarifa ambazo sio za ukweli zenye fitina, ubinafsi na kukomoana na kujikuta unachukuwa maamuzi ya kuhamisha watumishi wenye weledi na kuacha wabovu.
Nashukuru kwa kuelewa.

Kwasababu ya kukosa vision afande amekuwa akiwaondoa wafanyakazi wenye kutenda kazi kwa weledi na kuwapeleka kwenye taasisi zingine kupitia uchochoro wa Menejimenti ya Utumishi wa Umma kwa Dr. Laurean Ndumbaro au kuwafukuza kabisa bada ya kupata taarifa ya majungu kutoka kwa watu wake. Halafu badae afande anawaomba tena Utumishi wamtafutie watu wengine bila kuelewa kuwa kutakuwa na learning curve ya muda mrefu kwa hao wageni na hivyo kupelekea kuathiri utendaji.

Wewe umeona wapi, siku hiyo Mh. Makamu wa Rais anauliza mbona ufanisi ni mbovu wa hii taasisi eti Menejimenti inajibu kuwa inajitahidi kuboresha na tayali wamefukuzwa watumishi zaidi ya 20, serious!!, badala ya kumweleza Mh. Makamu wa Rais mikakati iliyopo eti wanazungumzi juu ya kufukuza kazi watumishi.

Tulikuwa tunaitegemea Board ya Wadhamini chini ya Uenyekiti wa Fatuma Mrisho kwamba watasaidia kumdhibiti huyu afande lakini ndo kwanza hamna inachokifanya, hii Bodi imekuwa ni mzigo!!

Hii Bodi ilikuwa corrupted tangu wakati wa Bwanakunu na Victoria Elangwa akiwa Mkurugenzi wa Rasilimali Watu na Utawala. Bodi hii ilikuwa totally corrupted na kushindwa kufanya kazi ambazo imekuwa entrusted na Rais wa nchi na hata wafanyakazi wamekosa pa kukimbilia in case kunakuwa na masuala ya nidhamu. Bodi haijawai kukutana na wafanyakazi tangia iundwe mwaka 2017, hii Bodi ni mzigo na kimeo tangia wakati wa Victoria Elangwa na Bwanakunu, haijui wajibu wake!!!
 
Nashukuru kwa kuelewa.

Kwasababu ya kukosa vision afande amekuwa akiwaondoa wafanyakazi wenye kutenda kazi kwa weledi na kuwapeleka kwenye taasisi zingine kupitia uchochoro wa Menejimenti ya Utumishi wa Umma kwa Dr. Laurean Ndumbaro au kuwafukuza kabisa bada ya kupata taarifa ya majungu kutoka kwa watu wake. Halafu badae afande anawaomba tena Utumishi wamtafutie watu wengine bila kuelewa kuwa kutakuwa na learning curve ya muda mrefu kwa hao wageni na hivyo kupelekea kuathiri utendaji.

Wewe umeona wapi, siku hiyo Mh. Makamu wa Rais anauliza mbona ufanisi ni mbovu wa hii taasisi eti Menejimenti inajibu kuwa inajitahidi kuboresha na tayali wamefukuzwa watumishi zaidi ya 20, serious!!, badala ya kumweleza Mh. Makamu wa Rais mikakati iliyopo eti wanazungumzi juu ya kufukuza kazi watumishi.

Tulikuwa tunaitegemea Board ya Wadhamini chini ya Uenyekiti wa Fatuma Mrisho kwamba watasaidia kumdhibiti huyu afande lakini ndo kwanza hamna inachokifanya, hii Bodi imekuwa ni mzigo!!

Hii Bodi ilikuwa corrupted tangu wakati wa Bwanakunu na Victoria Elangwa akiwa Mkurugenzi wa Rasilimali Watu na Utawala. Bodi hii ilikuwa totally corrupted na kushindwa kufanya kazi ambazo imekuwa entrusted na Rais wa nchi na hata wafanyakazi wamekosa pa kukimbilia in case kunakuwa na masuala ya nidhamu. Bodi haijawai kukutana na wafanyakazi tangia iundwe mwaka 2017, hii Bodi ni mzigo na kimeo tangia wakati wa Victoria Elangwa na Bwanakunu, haijui wajibu wake!!!
Ndugu afande DG wa MSD, endesha
Nashukuru kwa kuelewa.

Kwasababu ya kukosa vision afande amekuwa akiwaondoa wafanyakazi wenye kutenda kazi kwa weledi na kuwapeleka kwenye taasisi zingine kupitia uchochoro wa Menejimenti ya Utumishi wa Umma kwa Dr. Laurean Ndumbaro au kuwafukuza kabisa bada ya kupata taarifa ya majungu kutoka kwa watu wake. Halafu badae afande anawaomba tena Utumishi wamtafutie watu wengine bila kuelewa kuwa kutakuwa na learning curve ya muda mrefu kwa hao wageni na hivyo kupelekea kuathiri utendaji.

Wewe umeona wapi, siku hiyo Mh. Makamu wa Rais anauliza mbona ufanisi ni mbovu wa hii taasisi eti Menejimenti inajibu kuwa inajitahidi kuboresha na tayali wamefukuzwa watumishi zaidi ya 20, serious!!, badala ya kumweleza Mh. Makamu wa Rais mikakati iliyopo eti wanazungumzi juu ya kufukuza kazi watumishi.

Tulikuwa tunaitegemea Board ya Wadhamini chini ya Uenyekiti wa Fatuma Mrisho kwamba watasaidia kumdhibiti huyu afande lakini ndo kwanza hamna inachokifanya, hii Bodi imekuwa ni mzigo!!

Hii Bodi ilikuwa corrupted tangu wakati wa Bwanakunu na Victoria Elangwa akiwa Mkurugenzi wa Rasilimali Watu na Utawala. Bodi hii ilikuwa totally corrupted na kushindwa kufanya kazi ambazo imekuwa entrusted na Rais wa nchi na hata wafanyakazi wamekosa pa kukimbilia in case kunakuwa na masuala ya nidhamu. Bodi haijawai kukutana na wafanyakazi tangia iundwe mwaka 2017, hii Bodi ni mzigo na kimeo tangia wakati wa Victoria Elangwa na Bwanakunu, haijui wajibu wake!!!
Ndugu afande DG wa MSD endesha taasisi kwa weledi kama msomi kwa kufuata; sheria, taratibu na kanuni maana Uongozi ni sheria, kanuni na sheria baaaasi!!!. Hata Mwanasheria Mkuu wa taasisi ambae ndie mhifadhi vitu vyote hivyo kwenye taasisi ameshindwa kufanya kazi yake ipasavyo ya kumshauli huyo afande, amegeuza kuwa ni mtu wa kusifu na kuabudu wakati taasisi inaenda mlama, sijui ni kwasababu ya zile hela million 60 ulizopewa kwa safari ya kwenda China??πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†

Ndugu afande, kama ulivyoambiwa hapo awali MSD ilianzishwa kwa majukumu ya; kununua, kuhifadhi na kusambaza dawa za binadamu, vifaa tiba na vitendanishi kwenye hospitali zoote za Serikali kwa sheria ya Bunge namba 13 ya mwaka 1993. Na kama MSD imeamua kuwa mzalishaji hainabudi hili jambo lipelekwe tena Bungeni ili kuongezewa hilo jukumu na huko ndo kueshimu Utawala Bora na Sheria za Nchi, fanya kazi kwa weledi ndugu na Kiongozi aliye makini anapimwa kwa hayo, sio kuendesha taasisi kama ni nyumbani kwako!!

Ndugu afande acha ku-deal na trivial issues za kusambaratisha wafanyakazi ambao baadhi yao walikuwa asset na potential kwa taaisis. Ndugu afande, achana na tabia ya kudukua simu za watumishi wako hilo ni kosa kisheria na haitakusaidia katika utendaji wako fanya kazi kwa weledi hilo sio ghala la kujifadhia mabomu, acha kufanya mambo primitive na sisi tukiamua kukudukua simu zako tutakupta na ujue kuwa hata simu zako za siri tunazo.

Ndugu afande acha tabia yako ya ki-primitive ya kuwakodia watumishi wako bodaboda ili kuwafata waendako kwa misingi ya kuendekeza majungu na mgawanyiko miongoni mwa watumishi. Pamoja na kwamba unatembea na pistol kiunoni mwako, magwanda pamoja na walinzi wasipungua 2 hatujashindwa kukufuatilia nyendo zako tutawatumia bodaboda haohao unaowatuma wewe kuwafuatilia watumishi.

Ndugu afande, ongoza taasisi kwa weledi na kufuata sheria, taratibu na kanuni. Nakumbuka πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†siku moja Bodi ilikuja MSD kwaajili ya kufanya kikao pamoja na kuwa Bodi yenyewe ni kimeo DG afande aliposikia kuwa wajumbe wa Bodi wanakuja yeye akaamua kuanzisha safari ya kwenda Iringa na alipopigiwa simu kuwa wajumbe wa Bodi wamefika yeye akajibu kuwa eti yeye afande hakuja MSD kufanya vikao na BodiπŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜† seriously!! yeye akaendelea na safari na kikao hakikufanyika!!!!

As requested earlier, hawa ma-afande wanapokuja kufanya kazi za ki-raia wawe wanapewa crush program kwanza kabla ya kuwa ni kituko kwa watu waliompa madaraka.

Ngoja niishie hapa tena kwa sasa!!
 
Ndugu afande DG wa MSD, endesha

Ndugu afande DG wa MSD endesha taasisi kwa weledi kama msomi kwa kufuata; sheria, taratibu na kanuni maana Uongozi ni sheria, kanuni na sheria baaaasi!!!. Hata Mwanasheria Mkuu wa taasisi ambae ndie mhifadhi vitu vyote hivyo kwenye taasisi ameshindwa kufanya kazi yake ipasavyo ya kumshauli huyo afande, amegeuza kuwa ni mtu wa kusifu na kuabudu wakati taasisi inaenda mlama, sijui ni kwasababu ya zile hela million 60 ulizopewa kwa safari ya kwenda China??πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†

Ndugu afande, kama ulivyoambiwa hapo awali MSD ilianzishwa kwa majukumu ya; kununua, kuhifadhi na kusambaza dawa za binadamu, vifaa tiba na vitendanishi kwenye hospitali zoote za Serikali kwa sheria ya Bunge namba 13 ya mwaka 1993. Na kama MSD imeamua kuwa mzalishaji hainabudi hili jambo lipelekwe tena Bungeni ili kuongezewa hilo jukumu na huko ndo kueshimu Utawala Bora na Sheria za Nchi, fanya kazi kwa weledi ndugu na Kiongozi aliye makini anapimwa kwa hayo, sio kuendesha taasisi kama ni nyumbani kwako!!

Ndugu afande acha ku-deal na trivial issues za kusambaratisha wafanyakazi ambao baadhi yao walikuwa asset na potential kwa taaisis. Ndugu afande, achana na tabia ya kudukua simu za watumishi wako hilo ni kosa kisheria na haitakusaidia katika utendaji wako fanya kazi kwa weledi hilo sio ghala la kujifadhia mabomu, acha kufanya mambo primitive na sisi tukiamua kukudukua simu zako tutakupta na ujue kuwa hata simu zako za siri tunazo.

Ndugu afande acha tabia yako ya ki-primitive ya kuwakodia watumishi wako bodaboda ili kuwafata waendako kwa misingi ya kuendekeza majungu na mgawanyiko miongoni mwa watumishi. Pamoja na kwamba unatembea na pistol kiunoni mwako, magwanda pamoja na walinzi wasipungua 2 hatujashindwa kukufuatilia nyendo zako tutawatumia bodaboda haohao unaowatuma wewe kuwafuatilia watumishi.

Ndugu afande, ongoza taasisi kwa weledi na kufuata sheria, taratibu na kanuni. Nakumbuka πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†siku moja Bodi ilikuja MSD kwaajili ya kufanya kikao pamoja na kuwa Bodi yenyewe ni kimeo DG afande aliposikia kuwa wajumbe wa Bodi wanakuja yeye akaamua kuanzisha safari ya kwenda Iringa na alipopigiwa simu kuwa wajumbe wa Bodi wamefika yeye akajibu kuwa eti yeye afande hakuja MSD kufanya vikao na BodiπŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜† seriously!! yeye akaendelea na safari na kikao hakikufanyika!!!!

As requested earlier, hawa ma-afande wanapokuja kufanya kazi za ki-raia wawe wanapewa crush program kwanza kabla ya kuwa ni kituko kwa watu waliompa madaraka.

Ngoja niishie hapa tena kwa sasa!!
Pamoja na kwamba afande wa MSD i.e DG kakiuka kwa makusudi mazima sheria ya Bunge namba 13 ya mwaka 1993 iliyouanzisha MSD kwa kutokuwasiliana na Waziri wa Afya ili kupekeka muswada wa MSD kuongezewa majukumu ya uzalishaji, pia uzalishaji wa dawa unaoendelea una mapungufu serious kama ifuatavyo;

1. Hakuna feasibility study yoyote iliyofanywa na wataalamu kuhusu huo mradi na kama ilifanyika je composition ya hao wataalamu ikoje?

2. Je ROI - Return on Investment katika huo mradi ikoje?

3. Nani alipitisha - approved kufanyika huo mradi? Je ni Bodi ya Wadhamini au Waziri wa Afya?

4. Bajeti ya huo mradi ilikuwa ni kiasi gani? na ni nani alipitisha hiyo bajeti?

5. Je hiyo bajeti ya huo uzalishaji iliandaliwa under emergency? kwasababu tunajua kuwa kuwa wewe ulianza kazi mwezi wa 5, 2020

6. Nani amekuwa mtaalamu mshauli katika huo mradi? na alipatikanaje?

Pamoja na kwamba nimeamua kuyataja tu machache lakini kwa kutoyazingatia hayo hapo juu maana yake kama kiongozi haujui dhana nzima ya Utawala Bora na utii wa Sheria, Taratibu na Kanuni.

Mwanasheria Mkuu wa MSD alitakiwa akushauli vyema kwenye hatua zoote hizo hapo juu na sio kusifu na kuabudu tu kwa maana ya kuchumia tumbo badala ya kulinda profesionalism na ustawi wa taasisi

Hata Mkaguzi Mkuu wa Ndani ameshindwa kumshauli afande katika suala zima la utawala bora kazi aliyonayo ni kuendekeza majungu tu na kuwafitini watumishi. Nakumbuka hata alipowekwa Frank Nkone kwenye nafasi ya Mkurugenzi wa Manunuzi wakati hana hata sifa moja huyu Mkaguzi Mkuu wa Ndani kwake ilionekana kuwa ni kitu cha kawaida na wala sio kosa badala ya kumshauli vyema afande. Integrity ya huyu Mkaguzi Mkuu wa Ndani ni zeero kabisa.

Ndugu afande pamoja na kwamba continuity ya hiyo miradi bado ni questionable, hebu fuata taratibu zinazotakiwa katika uendeshaji wa hiyo miradi otherwise inaonekana kwamba wewe katika suala zima la Uongozi iko shida.

Umewaondoa watumishi ambao walikuwa ni asset na potential kwenye taasisi na kubaki na vilaza wasiokuwa na msaada wowote, hawana institutional memory yoyote ya taasisi wameendekeza majungu tu!!

Ninaishia kidogo tena hapa.
 
Thank you my friend!!!

Ila sidhani kama MSD ni organization ambayo ni complex kuiendesha, hapana!

Tangu MSD ianze operation zake mwaka 1994 imekuwa ikiendeshwa vizuri tu chini ya wakurugenzi wakuu tofautitofauti pamoja na kuwa hela iliyokuwa inaletwa na Serikali ilikuwa ni kidogo sana lakini dawa zilikuwa zinapatikana kwa wingi ikiwa ni pamoja na vifaa tiba.

Kinachotakiwa ni commitment ya dhati kwa kiongozi mkuu pamoja na management nzima yenye weledi wa kutosha kwenye kuendesha taasisi na sio kuokoteza tu wafanyakazi kwa kujuana ndio uwaweke kwenye nafasi nyeti.

Kwa sisi tuliopo hapa MSD mambo yalianza kuharibika mwaka 2016 pamoja na kwamba inasemekana kuwa ndo kipindi ambacho Serikali ilileta hela nyingi sana MSD kiasi cha Shs. billion 256 lakini mambo yaliendelea kuwa mabaya ikiambatana uharibifu mkubwa sana wa dawa na utoaji wa taarifa potofu kwa Serikali kuhusu upatikanaji wa dawa.

Kubadilisha Menejimenti yote ni sawa. Mkurugenzi Mkuu wa sasa bwana afande hilo kalifanya vizuri sana pamoja na kuwa kiu ya wafanyakazi wa MSD ilikuwa ni kuwatoa aliyekuwa Mkurugenzi wa Rasilimali Watu na Utawala ndugu Victoria Mwanri Elangwa pamoja na Mkaguzi Mkuu wa Ndani bwana Robert Biah.

Wafanyakazi tulifurahi sana kuondolewa kwa huyo mwanamke ambae amejaa sifa za; uzinzi ulio kubuhu wa kutembea na Mkuu wa taasisi na vijana wadogo, usiku kutwa kwenda kwa masangoma Zanzibar, Moshi aliko mama yake, Dar pamoja na Tanga. Huyu mwanamke alikuwa ni mtu hatari sana kwa kuwafitini wafanyakazi na kuwaharibia kazi bila sababu za msingi.

Victoria na Bwanakunu aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu Wakitaka kumharibia utumishi mtumishi walikuwa wanamtumia sana Mkaguzi Mkuu wa Ndani ili aanzishe mchakakato dhidi ya Mtumishi. Mkaguzi Mkuu wa Ndani hana integrity yoyote integrity yake ni zeero na hana msaada wowote kwa afande mbali ya kupeleka majungu na kuiharibu taasisi.

Sisi tuliopo hapa MSD tunamshauli sana afande aachane kuwasikiliza Mkaguzi Mkuu wa Ndani kwasababu mtu huyo kajaa fitina ndani ya moyo wake, hana msaada wowote na amechangia sana kupeleka majungu yalipelekea kuwahamisha MSD baadhi ya wafanyakazi ambao ilikuwa ni asset kubwa sana kwa MSD.

Kitendo cha kumuondoa Frank Nkone pale procurement, nafasi ambayo aliipata kwa majungu na fitina wakati hajawaisomea fani ya manunuzi ulifanya uamuzi mzuri sana, huyu kijana ni mtu aliyejaa fitina na majungu sana, na tunamungalia tu!!
Kwenye paragraph ya 10 hapo juu nimejaribu kueleza tabia mbovu sana ya mjungu na fitna za huyu kijana anaeitwa Frank Nkone hapa ofisini kwangu Bohari ya Dawa - MSD

Kwa jinsi alivyokubuhu kwa majungu huyu kijana and very unethical kabisa, nakumbuka huyu kijana aliajiliwa na wenzake kama 3 hivi kwa siku moja. Huyu kijana aliwaabia wenzake kuwa pamoja na kuwa wameajiliwa siku moja lakini lazima atawapita kwa cheo na mshahara, kumbe ngao yake kubwa ikiwa ni majungu na fitina kwa kuwaharibia kazi wenzake.

Bada ya kuajiliwa ndipo alipoanza kumfanyia figisu bosi wake ambae alikuwa ni HRM kwa kupeleka majungu kwa Mkurugenzi Mkuu ili kumharibia kazi bosi wake na nafasi yake aichukue yeye, na hiyo hali aliizidisha sana wakati wa Bwanakunu na Victoria Elangwa akiwa DHRA.

Bada ya hila yake hiyo kushindikana ndipo alipomrubuni DG wa wakati huo ili ampeleke kwenye kitengo cha SMO kwasababu kwenye kitengo kile kulikuwa na marupurupu mengi, DG akakubali. Alipokuwa SMO kazi kubwa ali-target kuwaharibia baadhi ya Wakurugenzi ili ikiwezekana apewe yeye, nakumbuka kuna Mkurugenzi mmoja aliandikiwa barua ya warning kabisa!!

Bada ya hiyo mbinu kushindikana akaamua kusuka jungu ili aliyekuwa bosi wake HRM atolewe pale ili yeye akae kwenye hiyo nafasi kama HRM, safari hii alifanikiwa na kweli HRM akatolewa na akapewa yeye. Kama kungekuwa na fairness lazima wangepewa waliokuwepo kwenye kitengo na sio Frank Nkone.

Ili kuonyesha kuwa huyu kijana ana pepo la kuhamahama nafasi kwa lengo la kuwaharibia watumishi wenzake, bada ya DHRA kupata ajali harakaharaka aka-lobby kwa DG ili nafasi ya DHRA apewe yeye wakati ndo ana muda mfupi tu tangu apewe nafasi ya HRM, na kumbaka kwenye kurugenzi ya DHRA kulikuwa na watu waliokuwa senior kwake huyo Frank Nkone, hiyo nafasi ya DHRA akapewa

Bada ya DHRA kurejea akaanza kuwinda nafasi ingine bada ya kuona hiyo ya HRM haitaki tena. Na kumbuka ili apewe nafasi anayoitaka lazima amharibie aliyekuwepo kwenye hiyo nafasi kwa kupeleka majungu kwa DG.

Badae tena akaona hiyo nafasi ya utawala aliyopewa haina maana tena akaona apeleke majungu kwa afande ili kumharibia Mkurugenzi wa Manunuzi. Afande akamkubalia na kweli Mkurugenzi wa Manunuzi aliondolewa na kupewa hiyo nafasi yeye Frank Nkone wakati hajasomea fani ya manunuzi au u-phamasia

Huyu kijana amekuwa ni kero na janga kwa taasisi, na amechangia sana kuwaharibia watumishi wa MSD ambao baadhi yao wameishia kufukuzwa kazi au kuhamishwa. Na imekuwa ni kawaida yake kufanya hivyo kwasababu ma-DG ambao wamekuwa wakiletwa hapa MSD huwa ni watu ambao hawana managerial na leadership skills pamoja na integrity ndio maana wanaishia kuongoza taasisi kimajungu na kupelekea kuwaondoa watu ambao walikuwa ni potential kwa taasisi.

Lakini huyu kijana sio kwamba tumemshindwa la hasha!!!

Asante!
 
Kwenye paragraph ya 10 hapo juu nimejaribu kueleza tabia mbovu sana ya mjungu na fitna za huyu kijana anaeitwa Frank Nkone hapa ofisini kwangu Bohari ya Dawa - MSD
Frank Nkone ni Muha wa Kigoma. Hizo ndiyo tabia zao, angalia Zitto Kabwe, David Kafulila na Abdul Nondo, kujikomba kwa wakubwa kwa kusaliti wenzao ndiyo wanavyojitengenezea njia ya kupanda wao.

Mvumilieni tu na bado atawatenda wengi ikibidi hata huyo Mkulugenzi Mkuu. Ndiyo tabia zao USNITCH
 
Frank Nkone ni Muha wa Kigoma. Hizo ndiyo tabia zao, angalia Zitto Kabwe, David Kafulila na Abdul Nondo, kujikomba kwa wakubwa kwa kusaliti wenzao ndiyo wanavyojitengenezea njia ya kupanda wao.

Mvumilieni tu na bado atawatenda wengi ikibidi hata huyo Mkulugenzi Mkuu. Ndiyo tabia zao USNITCH
Well said my friend!!

Kwakweli huyu kijana Frank Nkone ni kirusi kibaya sana kwenye taasisi, na nafikili hata kwenye taasisi alikotoka alikuwa ni kirusi.

Nilimwonea huruma sana afande DG alivyoamua kuingia kichwakichwa kwa huyu kijana kirusi wa kuharibu future na utumishi ili yeye afanikiwe. Nilivyokuwa namuona anapiga route za mara kwa mara kwenda kwenye ofisi ya afande hapa juu nikaona hapa afande anaenda kuharibu!!

Nilipoona anapewa nafasi ya Ukurugenzi wa Manunuzi wakati hana hata sifa moja katika eneo la manunuzi sikushangaa nikajua afande kaingia King πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†

Bado tunasema kuwa hiki kirusi hatujashindwa kukifanyia mbaya, la hasha!!!!. Mtu anaeharibia wengine ili aweze kujinufaisha yeye ni mtu mbaya sana na hafai kwenye jamii.

Kwa mara nyingine tena, pamoja na kwamba afande ana makandokando mengi sana ya ki-uongozi anatakiwa awe mbali na Frank Nkone.

Tabia alizonazo huyu kijana haitofautini na tabia za aliyekuwa DHRA - Victoria Mwanri Elangwa ambae amehamishiwa Board ya Korosho kwa kupenda kuharibia CV za watu na mafaili ya watumishi kwa taarifa za uongo ili mradi tu amuharibie mtumishi.

Tuna taarifa kutoka vyanzo vya uhakika kuwa kuna baadhi ya watumishi aliwaribia mafaili yao hapa Bohari huyu Vicky. Hii Mkurugenzi hana maadili kabisaa katika masuala ya staff matters. Tuna idadi ya watumishi ambao ali-temper na taarifa za utumishi wao ili awaharibie, tukiitwa kutoa ushahidi tuko tayali.

Kama ilivyo kwa Frank kupata vyeo kwa kuwaharibia wenzake na kiujanjaujanja ndivyo ilivyo na kwa Vicky.

Hata nafasi ya Ukurugenzi wa Utawala MSD Vicky aliipata kwa magendo kwasababu sifa zilizokuwa kwenye tangazo la kazi sizo ambazo alikuwanazo Victoria Elangwa. Nasikia hata huko Board ya Korosho amepewa cheo ambacho hakiendani na sifa ambazo anazo, kisa lobbying!!!
 
Well said my friend!!

Kwakweli huyu kijana Frank Nkone ni kirusi kibaya sana kwenye taasisi, na nafikili hata kwenye taasisi alikotoka alikuwa ni kirusi.

Nilimwonea huruma sana afande DG alivyoamua kuingia kichwakichwa kwa huyu kijana kirusi wa kuharibu future na utumishi ili yeye afanikiwe. Nilivyokuwa namuona anapiga route za mara kwa mara kwenda kwenye ofisi ya afande hapa juu nikaona hapa afande anaenda kuharibu!!

Nilipoona anapewa nafasi ya Ukurugenzi wa Manunuzi wakati hana hata sifa moja katika eneo la manunuzi sikushangaa nikajua afande kaingia King πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†

Bado tunasema kuwa hiki kirusi hatujashindwa kukifanyia mbaya, la hasha!!!!. Mtu anaeharibia wengine ili aweze kujinufaisha yeye ni mtu mbaya sana na hafai kwenye jamii.

Kwa mara nyingine tena, pamoja na kwamba afande ana makandokando mengi sana ya ki-uongozi anatakiwa awe mbali na Frank Nkone.

Tabia alizonazo huyu kijana haitofautini na tabia za aliyekuwa DHRA - Victoria Mwanri Elangwa ambae amehamishiwa Board ya Korosho kwa kupenda kuharibia CV za watu na mafaili ya watumishi kwa taarifa za uongo ili mradi tu amuharibie mtumishi.

Tuna taarifa kutoka vyanzo vya uhakika kuwa kuna baadhi ya watumishi aliwaribia mafaili yao hapa Bohari huyu Vicky. Hii Mkurugenzi hana maadili kabisaa katika masuala ya staff matters. Tuna idadi ya watumishi ambao ali-temper na taarifa za utumishi wao ili awaharibie, tukiitwa kutoa ushahidi tuko tayali.

Kama ilivyo kwa Frank kupata vyeo kwa kuwaharibia wenzake na kiujanjaujanja ndivyo ilivyo na kwa Vicky.

Hata nafasi ya Ukurugenzi wa Utawala MSD Vicky aliipata kwa magendo kwasababu sifa zilizokuwa kwenye tangazo la kazi sizo ambazo alikuwanazo Victoria Elangwa. Nasikia hata huko Board ya Korosho amepewa cheo ambacho hakiendani na sifa ambazo anazo, kisa lobbying!!!
Tangazo la nafasi ya kazi ambalo ndilo lililompelekea Victoria Elangwa kupata nafasi ya Mkurugenzi wa Utawala MSD mwaka 2013 lilisema anatakiwa mtu aliyesomea Human Resource Management au Public Administration lakini yeye Victoria hakuwa na hizo sifa kwasababu yeye alisoma mambo ya Sociology, aliipata hiyo nafasi kwa kuhonga na matokeo yake watu waliokuwa na sifa wakatupwa nje, kazi akaipata huyu kilaza mwenye kuendekeza fitina na majungu.

Kwahiyo, mambo ya ujanjaujanja Victoria hajaanza leo na tabia yake inatakiwa ikemewe kwa nguvu zoote na watu woote!!
 
Huyu Vicky kama alikuwa mtendaji mbovu hivi inakuwaje analamba teuzi sasa kaenda Bodi ya Koroshow. Huyu ni mpare wa Sanya juu its either ana connection na Ndumbaro au kama mwanamke anaupiga mwingi sana mpira. Ama alikuwa na ukaribu na Ummy mbaye atakuwa amembeba kupata hiyo nafasi

Enzi za mwendazake yasemekana Takukuru walimpa mkwara atestify against his former boss Bwanakunu au na yeye aunganishwe kwenye kesi. Wapare na wachaga mnaupiga mwingi sana.
 
Huyu Vicky kama alikuwa mtendaji mbovu hivi inakuwaje analamba teuzi sasa kaenda Bodi ya Koroshow. Huyu ni mpare wa Sanya juu its either ana connection na Ndumbaro au kama mwanamke anaupiga mwingi sana mpira. Ama alikuwa na ukaribu na Ummy mbaye atakuwa amembeba kupata hiyo nafasi

Enzi za mwendazake yasemekana Takukuru walimpa mkwara atestify against his former boss Bwanakunu au na yeye aunganishwe kwenye kesi. Wapare na wachaga mnaupiga mwingi sana.
Well said my friend!!

Iko hivi, huyu Victoria Mwanri Elangwa kabla ya kuja MSD alikuwa anafanya kazi TMRC - Tanzania Mortgage and Refinance Company ambapo Mkurugenzi wake alikuwa ni Oscar Mgaya ambae ni kaka wa aliyekuwa DG wa MSD ndugu Joseph Mgaya. Kipindi alichoomba kazi Vicky MSD DG alikuwa ni Joseph Mgaya.

Kwasababu Vicky alikuwa ana ucheza sana kwa boss wake basi boss wake ikawa rahisi sana kum-convince mdogo mtu wa MSD ili ampatie kazi ya ukurugenzi pamoja na kuwa hakuwa na sifa. Kilichokuja kumsaidia kitu kingine ni kwamba aliyekuwa mjumbe wa Bodi ya MSD kipindi hicho Mama Techla Shangali ni ndugu yake wa karibu wa Vicky. Nakumbuka kuna mjumbe mmoja wa Bodi alitoa wazo la kumfanyia vetting huyu Vicky lakini ilikataliwa, watu waliokuwa na sifa walisikitika sana kwa kukosa ile kazi akapewa kilaza Vicky.

Ni kweli kabisa inasemekana ana connection na Ndumbaro wa Utumishi kutokana na ujanjaujanja wake, integrity kwa Vicky zeero kabisa. Pamoja na kutumia fedha pia amekuwa akiwapatia kazi ndugu zake Ndumbaro pale MSD. Inasemekana hata ambae amechukua nafasi ya DHRA hapa MSD ndugu Mapunda ni ndugu yake Ndumbaro.

πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜† hata sisi tulisikia kuwa aliitwa Takukuru ku-testify kuhusu her former boss Bwanakunu, tulishangaa alivyoamua kumgeuka wakati alikuwa anamchezea mwingi sana huyu boss wake wakati ni vigumu sana kumtenganisha Vicky na Bwanakunu wakiwa MSD

Ndio maana tunasema huyu Vicky hafai kabisa, hana ethics na integrity kabisa, amechangia sana kuharibu mafaili ya watu wa MSD. Vicky na Bwanakunu kama wanataka kumfanyia mbaya mtumishi kwasababu zao tu walikuwa wanamtumia Mkaguzi Mkuu wa Ndani bwana Robert Biah ili aanzishe mchakato na mpaka mtumishi anafukuzwa kazi au kuhamishwa kupelekwa kwenye taasisi nyingine kwa kutumia uchochoro wao kule Utumishi kwa Ndumbaro.

Bwana Robert Biah integrity na professionalism yake ni zeero kabisa, ana roho chafu sana ya fitina!!

Victoria wanasema ni mchaga wa Machame jina la Elangwa eti ni la mume wako!!
 
Well said my friend!!

Iko hivi, huyu Victoria Mwanri Elangwa kabla ya kuja MSD alikuwa anafanya kazi TMRC - Tanzania Mortgage and Refinance Company ambapo Mkurugenzi wake alikuwa ni Oscar Mgaya ambae ni kaka wa aliyekuwa DG wa MSD ndugu Joseph Mgaya. Kipindi alichoomba kazi Vicky MSD DG alikuwa ni Joseph Mgaya.

Kwasababu Vicky alikuwa ana ucheza sana kwa boss wake basi boss wake ikawa rahisi sana kum-convince mdogo mtu wa MSD ili ampatie kazi ya ukurugenzi pamoja na kuwa hakuwa na sifa. Kilichokuja kumsaidia kitu kingine ni kwamba aliyekuwa mjumbe wa Bodi ya MSD kipindi hicho Mama Techla Shangali ni ndugu yake wa karibu wa Vicky. Nakumbuka kuna mjumbe mmoja wa Bodi alitoa wazo la kumfanyia vetting huyu Vicky lakini ilikataliwa, watu waliokuwa na sifa walisikitika sana kwa kukosa ile kazi akapewa kilaza Vicky.

Ni kweli kabisa inasemekana ana connection na Ndumbaro wa Utumishi kutokana na ujanjaujanja wake, integrity kwa Vicky zeero kabisa. Pamoja na kutumia fedha pia amekuwa akiwapatia kazi ndugu zake Ndumbaro pale MSD. Inasemekana hata ambae amechukua nafasi ya DHRA hapa MSD ndugu Mapunda ni ndugu yake Ndumbaro.

πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜† hata sisi tulisikia kuwa aliitwa Takukuru ku-testify kuhusu her former boss Bwanakunu, tulishangaa alivyoamua kumgeuka wakati alikuwa anamchezea mwingi sana huyu boss wake wakati ni vigumu sana kumtenganisha Vicky na Bwanakunu wakiwa MSD

Ndio maana tunasema huyu Vicky hafai kabisa, hana ethics na integrity kabisa, amechangia sana kuharibu mafaili ya watu wa MSD. Vicky na Bwanakunu kama wanataka kumfanyia mbaya mtumishi kwasababu zao tu walikuwa wanamtumia Mkaguzi Mkuu wa Ndani bwana Robert Biah ili aanzishe mchakato na mpaka mtumishi anafukuzwa kazi au kuhamishwa kupelekwa kwenye taasisi nyingine kwa kutumia uchochoro wao kule Utumishi kwa Ndumbaro.

Bwana Robert Biah integrity na professionalism yake ni zeero kabisa, ana roho chafu sana ya fitina!!

Victoria wanasema ni mchaga wa Machame jina la Elangwa eti ni la mume wako!!
....mume wake πŸ–•
 
Hapa kuna kazi ya kufanya ili kuujua ukweli
Ni kweli kabisa ndugu yangu!

Lakini huyu Victoria Elangwa ni mshen.zi kabisa, that woman is totally unethical na integrity yake katika ku-handle staff issues ni zeero kabisa, hafai kuwa kiongozi. Kaharibu sana mafaili ya wafanyakazi ikitokea anataka kumfanyia kitu kibaya mtumishi

Ilifikia hatua anabadilisha hata ripoti za kamati za uchunguzi alizoziteua kutoka ndani au nje ya MSD ili kumuumiza mtumishi kwa makosa ambayo hayapo. Mimi niko hapa kwenye ofisi hii muda mrefu nina uhakika na hicho na ninawafahamu watumishi ambao huyu Victoria aliwaharibia.

Katika genge la uharibifu wa kuwaharibia watumishi linajumuisha; Robert Biah, Frank Nkone ambae ili apate cheo lazima amharibie mtumishi husika.

Frank Nkone bila kuingilia kati Wizara ya Afya bado angekuwa anaendelea kuwa Mkurugenzi wa Manunuzi, na alipata nafasi hiyo bada ya kumharibia mwenzake na hana ujuzi wa fani husika.

Vyombo husika tunaomba viitishe mafaili yoote ya watu walifukuzwa au kuhamishwa kazi wakati Victoria Elangwa akiwa Mkurugenzi wa HR hapa MSD ili kuwatendea haki hao watumishi. Huyu mwanamke ni mshenzi sana!
 
N
Tatizo lingine ni hiyo taasisi ni kama inaendeshwa Kisiasa zaidi badala ya kitaalam.

Imefikia hatua vituo vya Afya vinaishiwa hadi Panador tunaambiwa tukanunue kwenye maduka ya Dawa ya nje ya Hospitali.
Nimeshangaa hivi majuzi waziri wa afya amekubali kwenda kuzindua kiwanda kilichojengwa na afande wa MSD kwaajili ya kutengeneza gloves! Kuna uzi umewai kupita humu jf jinsi ambavyo afande wa MSD anavyoiendesha vibaya taasisi. Badala ya Waziri Dorothy ku-question taratibu zilizotumika kujenga hicho kiwanda including kama kulikuwa na approval ya Board yeye anabaki kushadadia tu!!

Dorothy Gwajima hebu muulize afande maswali yafuatayo;

1. Je nani alitoa appval?
2. Je kuna feasibility study yoyote ilifanyika
3. Je kuna team yoyote iliyokubaliana kwamba waanze kuzalisha gloves badala ya dawa ukizingatia kuwa MSD catalogue item ina orodha ya dawa 385 ambazo ni za muhimu sana at any time "t"
4. Je ni nani alie-approve kwamba hicho kiwanda kijengwe Iringa maana inajulikana kwamba huyo afande hilo eneo ni la kwao
5. Je hizo materials zilinunuliwaje? Was it under competitive tendering or whaat? Isije ikawa ni upigaji mwingine

6. Je Bunge limepitisha ongezeko la majukumu ya MSD kwa kuongeza eneo la uzalishaji??

Hayo ndio maswali aliyotakiwa Waziri amuulize afande ili kuonyesha kuwa utaratibu na utawala bora unafuatwa.
 
N

Nimeshangaa hivi majuzi waziri wa afya amekubali kwenda kuzindua kiwanda kilichojengwa na afande wa MSD kwaajili ya kutengeneza gloves! Kuna uzi umewai kupita humu jf jinsi ambavyo afande wa MSD anavyoiendesha vibaya taasisi. Badala ya Waziri Dorothy ku-question taratibu zilizotumika kujenga hicho kiwanda including kama kulikuwa na approval ya Board yeye anabaki kushadadia tu!!

Dorothy Gwajima hebu muulize afande maswali yafuatayo;

1. Je nani alitoa appval?
2. Je kuna feasibility study yoyote ilifanyika
3. Je kuna team yoyote iliyokubaliana kwamba waanze kuzalisha gloves badala ya dawa ukizingatia kuwa MSD catalogue item ina orodha ya dawa 385 ambazo ni za muhimu sana at any time "t"
4. Je ni nani alie-approve kwamba hicho kiwanda kijengwe Iringa maana inajulikana kwamba huyo afande hilo eneo ni la kwao
5. Je hizo materials zilinunuliwaje? Was it under competitive tendering or whaat? Isije ikawa ni upigaji mwingine

6. Je Bunge limepitisha ongezeko la majukumu ya MSD kwa kuongeza eneo la uzalishaji??

Hayo ndio maswali aliyotakiwa Waziri amuulize afande ili kuonyesha kuwa utaratibu na utawala bora unafuatwa.
Hata gharama za ujenzi wa kiwanda chenyewe inatia shaka pamoja na kwamba walitumia force account. Siku hiyo ya ufunguzi hata mimi nilikuwepo eneo la tukio lakini nilivyosikia gharama yake ukilinganisha na hali halisi nikajua hapo tumepigwa tayali.

Eti kujitetea wanasema gharama alizoleta engineer zilikuwa ni kubwa ukilinganisha na gharama zilizotumika. Katika nilijiuliza maswali yafuatayo; je walitumia BOQ ileile ya mwanzo ili ku-justify maelezo yao?, je walitumia Specifications zilele za engineer wa mwanzo?

La sivyo utaishia kufanya wrong judgement kwenye profession za watu. Najua mara nyingi watu wamekuwa wakijificha kwenye force account ili wapige zaidi.

Hapo Waziri umepigwa changa la machoπŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†. Kama wamejenga hicho kiwanda kwa bei ya chini na kwa kutumia BOQ na Specifications za engineer wa mwanzo hapo sawa, lakini hapo hamna kitu!!
 
Kuna mtu aliamini kila kitu ni wanajeshi. Kuanzia korosho, uchaguzi, madini mpaka kwenye dawa. Kuna siku akataka kuteua wanajeshi kwenye timu ya mpira wa miguu. Anamini kila kitu ni bunduki na mabomu. Angemuuliza kiduku.
Ile timu ya taifa ya wajeda alitaka kuunda wapige tizi asubuhi mchana na jioni
 
Mkuu mbona hizi ni tuhuma personal sana, una uhakika na unachokisema?
Victoria na Bwanakunu aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu Wakitaka kumharibia utumishi mtumishi walikuwa wanamtumia sana Mkaguzi Mkuu wa Ndani ili aanzishe mchakakato dhidi ya Mtumishi. Mkaguzi Mkuu wa Ndani hana integrity yoyote integrity yake ni zeero na hana msaada wowote kwa afande mbali ya kupeleka majungu na kuiharibu taasisi.
Hatari hii, unajua huyu anaweza kuwa mke wa mtu, au mama wa watu? Ndugu zake vipi?
 
Back
Top Bottom