Kijogoodi
JF-Expert Member
- Mar 29, 2021
- 1,363
- 2,372
Unakimbiza kichaa?kwaninimnamhofia mgonjwa wa akili? inachotakiwa ni nyie kuwa tayari kupinga hoja zake kwa evidence na sio matusi kama haya ya kumuita mgonjwa.
Unakimbiza kichaa?kwaninimnamhofia mgonjwa wa akili? inachotakiwa ni nyie kuwa tayari kupinga hoja zake kwa evidence na sio matusi kama haya ya kumuita mgonjwa.
ndio maana nikawaambia kwanini mnashindana na kichaa badala ya kupangua hoja zake?Unakimbiza kichaa?
COVID-19 ni wa Ndugayi!25
Chadema...... 20
ACT wazalendo...... 4
CUF......... 1
Maendeleo hayana vyama!
Kwa hiyo CCM imekosa wa kuitetea imekodi Mkenya?Nimeona Lissu leo amejipanga kuchafua nchi.
Yani Mkenya PLO Lumumba amejipanga kuitetea Tanzania lakini mzaliwa wa Singida Tundu Lisu anajipanga kuchafua.
Ni aibu kubwa kwa taifa letu
Lisu ni makamu mwenyekiti hewa wa Chadema mnalipa mshahara wa bure.
Naunga mkono hojaUmesahau adui mkubwa na wa kwanza wa Tanzania sasa ni CCM. Mosi, wanataka watu wote tuwe wapumbavu na mataahira ili ifike wakati wakisema kwetu Tanzania jua linatoka masgharibi na kuzama mashariki tuimbe wimbo huo huo bila kujali ukweli (Kwa mantiki hiyo, CCM inatamani wakati wote watu wawe wajinga). Pili, wanatamani watu wengi wawe maskini hohe hahe ili kiongozi wao akiwagawia hata shs. 10,000 wamwabudu badala ya Mungu wetu wa kweli, ndiyo sababu wakajiita watetezi wa wanyonge. Kwa nini kuwe na wanyonge katika nchi iliyopata uhuru miaka takriban 60 iliyipita.
Kwa hiyo CCM ni adui namba 1 wa nchi hii
Mpango as he is; a political novice. Nani alimwambia maendeleo ni kusema ndio pekee Bungeni?Makamu wa Rais Dkt. Mpango amesema wabunge wa upande wa pili akimaanisha Chadema ACT wazalendo na CUF ni vema wakajiunga na CCM ili kwa pamoja tuijenge mama Tanzania.
Dkt. Mpango amewashauri wabunge hao kwamba kama kuna ugumu wa wao kuhamia CCM basi wawe hata wanajenga hoja zenye kuleta maslahi ya kimaendeleo kwa mama Tanzania na siyo vinginevyo.
Chanzo: TBC.
Maendeleo hayana vyama!
Nenda iwe nyumbu habari utaipataKumbe huko ccm mnaingiza vitu kwenye mashimo yenu?
Utakuwa imeshakuwa na kubwa mno! Maana uko ccm siku nyingi
Tofautisha kati ya Chadema ya CCM na Chadema ya wananchi.Chadema ina wabunge 20!
Ndio hawana chama ikizingatiwa kuwa chadema imewatimuaIvi wale covid-19 si hawana chama.wabunge wa kujitegemea
Alikua anakupiga mtungo wewe na familia yakoKipenzi chako na nani? Je,jamaa alikuwa anawapiga mtungo?
Kumbe nikongweKijana wa miaka 55?
ule ni mdahalo. VOA hawakuandika kuchafua nchiNimeona Lissu leo amejipanga kuchafua nchi.
Yani Mkenya PLO Lumumba amejipanga kuitetea Tanzania lakini mzaliwa wa Singida Tundu Lisu anajipanga kuchafua.
Ni aibu kubwa kwa taifa letu
Lisu ni makamu mwenyekiti hewa wa Chadema mnalipa mshahara wa bure.
Hujawahi kumwita mmeo kipenz leo unamshobokea mume wa mama janeth tena marehemu.Wale waliokua wanampangia Rais Samia Suluhu Hassan cha kufanya nadhani tumeshaelewana🤣👍💪
Tanzania iko imara sana😍🇹🇿♥️
Alale salama kipenzi chetu John Pombe Magufuli 🙏
Akili yako tangu tupate msiba haijatulia John! Kwa hiyo kwa sasa chochote utachooanzisha, na umeanzisha nyuzi nyingi, tunakangalia tu, tunasema hiiiiii! Ila Mungu ni mkubwa, utapona tu!Lissu hanaga habari mpya afadhali hata Maria sarungi!
Kwa hiyo wewe ni mwelewa? Umemsikiliza msaliti Lissu anavyoumbuliwa leo na Lumumba?Kifo ni haki ya kila kiumbe chenye uhai, ukiwemo wewe na mimi. Kumwita Lissu msaliti ni kupungua uelewa wa maana halisi ya neno usaliti. Ni sababu ya ulaghai wa MATAGA wakihanikisha ufinyu wa uelewa na ujazo wa ujinga vichwani mwao. Uwasamehe