Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 28,281
- 81,567
Atakuwa bado hajapona vizuri ule ugonjwa wake wa kupumua kwa 100% bila shaka.Mbona wameshajiunga wengi tu na waliokataa wakanyimwa ushindi anataka watu gani tena maana hata hao waliomo bungeni ni wenzao ndiyo maana hata kura hakuna iliyomkataa kwa hiyo asiwe na wasiwasi
Haiwezekani mtu mzima wa kiwango cha PhD, hajui umuhimu wa upinzani Bungeni na pia katika nchi za Jumuiya ya Madola.