Makamu wa Rais, Dkt. Mpango na Bohari ya Madawa

Megalodon

JF-Expert Member
Apr 9, 2021
2,124
3,681
Kutokana na ziara ya Makamu wa Rais, Philip Mpango ni kwamba fedha za dawa zinazoenda Bohari ya madawa hazitumiki vyema.

Mkurugenzi wa pale ni mjeshi, nae ameingia kwenye mkondo kama yule wa mwanzo wa ubadhilifu, msd kuna nini lakini ?au nacho hiki ni kivuli cha mwendazake ?

Wananchi tuone sasa shida ipo katika mfumo wa chama tawala.
CCM itoke madarakani vinginevyo tunapoteza muda. Miaka 50 ya uhuru hakuna dawa za msingi.

Kubwa zaidi makamu anasema bohari ya madawa iwe na viwanda vya madawa. Mungu wangu Wanaojua tafsiri maana yake ni Bohari ya madawa haijui inafanya nini na inataka kufanya nini na imeshapoteza muelekeo .

Je viwanda vya madawa ni jukumu la Bohari ya madawa au wizara husika ya viwanda?

Hii inaonyesha bohari imeshakufa.
 
Kutokana na ziara ya Makamu wa Rais, Philip Mpango ni kwamba fedha za dawa zinazoenda Bohari ya madawa haizitumiki vyema. Mkurugenzi wa pale ni mjeshi, nae ameingia kwenye mkondo kama yule wa mwanzo? au nacho hiki ni kivuli cha mwendazake ?
Wananchi tuone sasa shida ipo katika mfumo wa chama tawala.
CCM itoke madarakani vinginevyo tunapoteza muda. Miaka 50 ya uhuru hakuna dawa za msingi.

Kubwa zaidi makamu anasema bohari ya madawa iwe na viwanda vya madawa. Mungu wangu Wanaojua tafsiri maana yake ni Bohari ya madawa haijui inafanya nini na inataka kufanya nini na imeshapoteza muelekeo .
Je viwanda vya madawa ni jukumu la Bohari ya madawa au wizara husika ya viwanda? hii inaonyesha bohari imeshakufa.
Tatizo la MSD ni ukosefu wa fedha ambazo wanaidai serikali. Deni la serikali ni kubwa sana kiasi cha kwamba MSD haiwezi kujiendesha kwa ufanisi. Huyu General waliompleka sasa hivi siyo suluhisho. In fact he is making things even worse. Badala ya kutafuta kiini cha tatizo tunatafuta visingizio kwamba ni management.
 
Tatizo la MSD ni ukosefu wa fedha ambazo wanaidai serikali. Deni la serikali ni kubwa sana kiasi cha kwamba MSD haiwezi kujiendesha kwa ufanisi. Huyu General waliompleka sasa hivi siyo suluhisho. In fact he is making things even worse. Badala ya kutafuta kiini cha tatizo tunatafuta visingizio kwamba ni management.
Serikali ni janjajanja sana...yaani shida yao lakini wanafukia makaburi.
 
Dr. Mpango ni mgonjwa msamehe bure.

Kwanza huko bohari alifata nini yeye kazi zake ni mbili tu:
1.MAZINGIRA: apande miti, vifungashio n.k
2. MUUNGANO: amalize kero za muungano.
 
Kutokana na ziara ya Makamu wa Rais, Philip Mpango ni kwamba fedha za dawa zinazoenda Bohari ya madawa haizitumiki vyema. Mkurugenzi wa pale ni mjeshi, nae ameingia kwenye mkondo kama yule wa mwanzo? au nacho hiki ni kivuli cha mwendazake ?
Wananchi tuone sasa shida ipo katika mfumo wa chama tawala.
CCM itoke madarakani vinginevyo tunapoteza muda. Miaka 50 ya uhuru hakuna dawa za msingi.

Kubwa zaidi makamu anasema bohari ya madawa iwe na viwanda vya madawa. Mungu wangu Wanaojua tafsiri maana yake ni Bohari ya madawa haijui inafanya nini na inataka kufanya nini na imeshapoteza muelekeo .
Je viwanda vya madawa ni jukumu la Bohari ya madawa au wizara husika ya viwanda? hii inaonyesha bohari imeshakufa.
He knows nothing about MSD
 
Tatizo la MSD ni ukosefu wa fedha ambazo wanaidai serikali. Deni la serikali ni kubwa sana kiasi cha kwamba MSD haiwezi kujiendesha kwa ufanisi. Huyu General waliompleka sasa hivi siyo suluhisho. In fact he is making things even worse. Badala ya kutafuta kiini cha tatizo tunatafuta visingizio kwamba ni management.

Kama ni uksefu wa fedha mbona kasema matumizi ya fedha msd yanamaswali mengi. na kama madawa hakuna kwa sabbu ya fedha, hizo fedha za kuweka maviwanda yasiyo na tija kwa baraka za makamu nje ya majukum ya bohari ya madawa zinatoka wapi? hili taasisi halijawahi pata mtu makini, nalifananisha na ttcl au tba. Huyu Brigedia si iliaminika ndio anaenda kutatua tatizo. Imekuaje tena.
Bwana ccm itoke tu hakuna inachoweza kufanikisha.
 
Dr. Mpango ni mgonjwa msamehe bure.

Kwanza huko bohari alifata nini yeye kazi zake ni mbili tu:
1.MAZINGIRA: apande miti, vifungashio n.k
2. MUUNGANO: amalize kero za muungano.

Na ndio maana kaongea vitu hovyo. Kasema kuwa bohari ya madawa inakiwanda cha barakoa ambacho hakifanyi kazi vema na kina mapungufu mengi, hapo hapo anasema ni suala zuri la bohari kuwa na viwanda. Inabashiria kuwa hajui analosema na bado ni mgonjwa kwakweli. Majukumu ya msd kisheria ni yapi hadi imiliki viwanda vya madawa, na majukumu ya wizara ya viwanda ni ipi. Ni uharibifu wa fedha za uma, Na mwishowe maviwanda yanakufa kwa sababu mambo hayafanywi kimiongizo. Usikute hizi zilikuwa ni mawazo ya mwendazake na haya ni masalia
 
Kama ni uksefu wa fedha mbona kasema matumizi ya fedha msd yanamaswali mengi. na kama madawa hakuna kwa sabbu ya fedha, hizo fedha za kuweka maviwanda yasiyo na tija kwa baraka za makamu nje ya majukum ya bohari ya madawa zinatoka wapi? hili taasisi halijawahi pata mtu makini, nalifananisha na ttcl au tba. Huyu Brigedia si iliaminika ndio anaenda kutatua tatizo. Imekuaje tena.
Bwana ccm itoke tu hakuna inachoweza kufanikisha.
Atatatua tatizo vipi wakati pesa ya kununulia madawa hakuna?!!baada ya serikali kuanzisha mfumo wa pesa zote kwenda hazina, hivyo hospital zote za serikali zinachukua madawa toka msd, halafu serikali ndio iwalipe hao msd!!shida ndio inaanzia hapo una kuta msd hana pesa ya kununulia madawa, tena, pesa yote aliyoziuzia hospital za serikali hajalipwa!!ndio maana kwa sasa wamependekeza kila hospital iwe inakwenda kununua yenyewe dawa zake, kulingana na pesa watakayokuwa nayo na sio pesa ziende hazina ndio ziende msd!!!vile vile hata pesa zinazopelekwa huko, hazitoshi, wizara kwenye bajeti labda inatengewa bilioni 260 inapatiwa 65%ya pesa hiyo!!
 
Hajui chochote kuhusiana na MSD, akae kimya, azunguke kupanda miti ya kuzindua maabara shule za kata na dispensary.

MSD haiwezi kujenga viwanda, hivi zile hela za wawekezaji waarabu waliotaka kujenga kiwanda cha madawa bado zipo?? Au serikali ya mwendazake na Mpango bado wamezing'ang'ania?

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Atatatua tatizo vipi wakati pesa ya kununulia madawa hakuna?!!baada ya serikali kuanzisha mfumo wa pesa zote kwenda hazina, hivyo hospital zote za serikali zinachukua madawa toka msd, halafu serikali ndio iwalipe hao msd!!shida ndio inaanzia hapo una kuta msd hana pesa ya kununulia madawa, tena, pesa yote aliyoziuzia hospital za serikali hajalipwa!!ndio maana kwa sasa wamependekeza kila hospital iwe inakwenda kununua yenyewe dawa zake, kulingana na pesa watakayokuwa nayo na sio pesa ziende hazina ndio ziende msd!!!vile vile hata pesa zinazopelekwa huko, hazitoshi, wizara kwenye bajeti labda inatengewa bilioni 260 inapatiwa 65%ya pesa hiyo!!

Kama ni hivo , hizo pesa za kujenga viwanda zimetoka wapi? Kiwanda cha barakoa msd cha nini ? Kwan kisheria majukumu ya msd ni yapi?
 
Back
Top Bottom