Lituye
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 1,862
- 5,680
Makamu wa Rais Bwana Philip Mapango wakati akimpokea SSH alisema kuwa alipata hofu alipo achiwa nchi kwa siku hizo chache lakini anashukuru SSH amerudi ameutua mzigo.
Wengi wanamlaumu Makamu wa Rais kwa kudai kuwa eti ameonesha udhaifu Sana ktk uongozi kwa kusema kuwa aligopa na alitakiwa kuwa mkakamavu na kujiamini.
Wanao mlaumu hawajui tuu kuwa jamaa kasema ukweriiii na msema kweli ni mpenzi wa Mungu. Huwezi ingia madarakani kwa wizi wa kura na hadaa halafu usibakie na hofu kwa wananchi unao walazimisha kutawala.
SSH alisikika akiwa Mbeya akisema hata mkipigia kura Chama kingine CCM ndio itakayo unda serikali. Alikuwa anajua hawakubaliki na wananchi ila wataunda serikari ya mwanasesere.
Mpango ataachaje kuwa na hofu ikiwa Chama Chao kimeshinda kwa kishindo uchafuzi halafu kinaogopa kongamano la KATIBA la Chama kisicho na Mbunge hata mmoja bungeni?
Ktk serikali iliyo undwa ya Mseto ya Jeshi la polisi na CCM unaachaje kuwa na hofu? Hofu lazima iwepo maana hujui polisi wanawaza nini juu ya kutwaa Madaraka na wananchi pia hujui wanawaza nini.
Mpango sio mtu wa Kwanza kueleza ukwerii kuwa CCM haikubaliki. Hata Kikwete aliwaambia ukwerii kuwa CCM kwa sasa inategea polisi kufanya siasa na wakiendelea itakula kwao.
Ni ktk mazingira hayo utaona lazima kubinya haki za watu ili mkoloni mweusi CCM aendelee kutawala. Mtabambikia watu kesi zisizo na mashiko kwa hofu ya kupoteza Madaraka lakini haita saidia kitu. KATIBA mpya ni lazima tuipate iwe jua iwe mvua.
Kwa taarifa yenu ni kuwa Madaraka mmesha yapoteza hayo mliyo nayo ni Madaraka ya Mwanasesere tuu Bibi wewee.
CC Mataga
CC Chifu Hangaya.
Wengi wanamlaumu Makamu wa Rais kwa kudai kuwa eti ameonesha udhaifu Sana ktk uongozi kwa kusema kuwa aligopa na alitakiwa kuwa mkakamavu na kujiamini.
Wanao mlaumu hawajui tuu kuwa jamaa kasema ukweriiii na msema kweli ni mpenzi wa Mungu. Huwezi ingia madarakani kwa wizi wa kura na hadaa halafu usibakie na hofu kwa wananchi unao walazimisha kutawala.
SSH alisikika akiwa Mbeya akisema hata mkipigia kura Chama kingine CCM ndio itakayo unda serikali. Alikuwa anajua hawakubaliki na wananchi ila wataunda serikari ya mwanasesere.
Mpango ataachaje kuwa na hofu ikiwa Chama Chao kimeshinda kwa kishindo uchafuzi halafu kinaogopa kongamano la KATIBA la Chama kisicho na Mbunge hata mmoja bungeni?
Ktk serikali iliyo undwa ya Mseto ya Jeshi la polisi na CCM unaachaje kuwa na hofu? Hofu lazima iwepo maana hujui polisi wanawaza nini juu ya kutwaa Madaraka na wananchi pia hujui wanawaza nini.
Mpango sio mtu wa Kwanza kueleza ukwerii kuwa CCM haikubaliki. Hata Kikwete aliwaambia ukwerii kuwa CCM kwa sasa inategea polisi kufanya siasa na wakiendelea itakula kwao.
Ni ktk mazingira hayo utaona lazima kubinya haki za watu ili mkoloni mweusi CCM aendelee kutawala. Mtabambikia watu kesi zisizo na mashiko kwa hofu ya kupoteza Madaraka lakini haita saidia kitu. KATIBA mpya ni lazima tuipate iwe jua iwe mvua.
Kwa taarifa yenu ni kuwa Madaraka mmesha yapoteza hayo mliyo nayo ni Madaraka ya Mwanasesere tuu Bibi wewee.
CC Mataga
CC Chifu Hangaya.