Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 2,156
- 4,510
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzini na Makamo wa Rais wa Tanzania leo Mei 26, 2021 amepiga kura kwenye Uchaguzi mdogo wa Ubunge Jimbo la Buhigwe.
Dkt Mpango amepiga kura hiyo akiwa kijiji anachotoka cha Muyama kilichopo Wilaya ya Buhigwe Mkoani Kigoma