Yule mwingine lugha ni tatizo,angekuwa yeye ungeona watu wengi wamejaa kwa ajili ya kumtafasilia,taifa linaingia gharama kutafuta watafasiri
Acha uongo wewe.. Utakuja kusutwa nawanao.Yule mwingine lugha ni tatizo,angekuwa yeye ungeona watu wengi wamejaa kwa ajili ya kumtafasilia,taifa linaingia gharama kutafuta watafasiri
Hasara au fursa ya ajira kwa Watanzania? Kwani wanaajiriwa nje ya Tanzania? Rais kutumia Kiswahili kumeongenza ajira hata kama ni ya mtu mmojaYule mwingine lugha ni tatizo,angekuwa yeye ungeona watu wengi wamejaa kwa ajili ya kumtafasilia,taifa linaingia gharama kutafuta watafasiri