Makamu wa Rais benki ya dunia kutua Tanzania 27/09/2021


👇🏿👇🏿👇🏿

World Bank’s regional VP to visit Tanzania Monday
SATURDAY SEPTEMBER 25 2021 ________________________________
World Bank’s Regional Vice President for Eastern and Southern Africa, Mr Hafez Ghanem.

Summary
The World Bank-financed portfolio in Tanzania includes 21 national projects with total net commitments of $4.8 billion

Dodoma.

The World Bank’s Regional Vice President for Eastern and Southern Africa, Mr Hafez Ghanem, will visit Tanzania next week: a few days after President Samia Suluhu Hassan discussed Covid-19-related matters with the global lender’s chief.

Last Tuesday, President Hassan met with the World Bank Group’s President David Malpass in New York, where the two discussed the lender’s support to Tanzania in the country’s efforts to mitigate Covid-19 impacts and accelerate vaccination.

President Malpass affirmed the World Bank’s willingness to support vaccines procurement, uptake and deployment through its International Development Assistance (IDA). Mr Malpass also lauded Tanzania’s efforts to improve the business environment and facilitate private sector-led growth through reforms.

He stressed the importance of electricity access, affordable housing, and digital infrastructure - including regional solutions - to improve efficiency and access competitive markets.

Mr Malpass also emphasized the importance of debt transparency, and encouraged careful selection of investment programmes and their financing sources.

During the visit - scheduled for September 27-28, 2021 - Dr. Ghanem will hold high-level discussions with President Hassan and other senior government officials and development partners.

He will also meet with private sector leaders and representatives of Tanzanian civil society.

“This follows on President Hassan’s bilateral meeting with World Bank Group President David Malpass in New York this week where they discussed Tanzania’s efforts to mitigate the impacts of the Covid-19 pandemic and accelerate vaccinations, and the country’s business environment and reforms being undertaken to facilitate private sector-led growth,” said the World Bank Group in a statement.

Dr Ghanem’s latest visit is his second to Tanzania as World Bank Vice President.

The World Bank-financed portfolio in Tanzania includes 21 national projects with total net commitments of $4.8 billion.

Key WB-supported sectors include transport, urban development, education, energy, water, social protection, environment/natural resources, digital development and governance.

Tanzania is also part of five regional projects with its own total commitments reaching $698.3 million. These projects are in the energy, environment, and education sectors.

Dr Ghanem -  an Egyptian and French national - is a development expert with over 30 years of experience.

He nurtures relations with 26 countries in Eastern and Southern Africa, where he oversees more than 280 projects with a value totalling more than $49 billion.

“Under his leadership, the World Bank has supported inclusive growth and poverty reduction by financing projects that boost human capital, support private sector development, raise agricultural productivity, improve access to infrastructure, build resilience to climate change, and promote regional integration,” the World Bank stated.

“Intensifying assistance for fragile and conflict-affected states, promoting gender equality and the empowerment of women and girls, and expanding access to electricity and digital services to promote economic development are core to his vision for the Eastern and Southern Africa Region,” it added

View attachment 1953362

👇🏿👇🏿👇🏿

Miezi sita ya Rais Samia,

Nchi imetulia tuli,
Wawekezaji kama wote
Wahisani kama wote
Wananchi Shangwe kila kona

#KAZIIENDELEE
 
👇🏿👇🏿👇🏿👇🏿

Kutoka Mwaka 2015/16 hadi 2020/21 pesa iliyoongezwa bodi ya mikopo ilikuwa Tshs 101BL na wanafunzi wapya walikuwa elfu 32 ,

Awamu ya sita kwa miezi sita pesa iliyoongezwa kwenye bodi hiyohiyo ni Tsh 120b na wanafunzi wapya ni elfu 29

Budget ya HESLB kwa mwaka 2015/16 ilikuwa 348.7B kwa wanafunzi 98,300

Budget ya HESLB mwaka 2020/21 ilifikia 450B kwa wanafunzi 130,883

_________________________

Awamu ya sita kwa miezi sita imeongeza budget kutoka 450B za awali hadi 570B za sasa na idadi ya wanufaika imeongezeka na kufikia 160,000.

#Hoja hapa ni muda wa matokeo

#HAKUNA KAMA SAMIA
 
Safi Sana
Masaa machache baada ya Rais Samia kuhutubia UN Gen Assembly huko New York Marekani na kurejea nchini || Sasa rasmi Makamu wa Rais benki ya dunia kutua Tanzania 27|28|09|2021.
____________________________________________
Makamu wa Rais wa benki ya dunia anayeshughulikia Ukanda huu wa Mashariki na kusini Mr Hafez Ghanem anatarajiwa kufanya ziara ya siku mbili nchi Tanzania yaani trh 27|28|2021 ikiwa ni matoke ya Rais Samia kusafiri nje ( Mtembea bure si sawa na mkaa bure) ,

Mr Hafez Ghanem ambae ni raia wa Misri|Ufaransa ni mtu mwenye uzoefu sana kuhusu miradi ya maendeleo kwa zaidi ya miaka 30,anasimamia nchi za kusini na Mashariki 26 zenye jumla ya miradi 280 yenye thamani ya $49BL karibu Tshs 112.7trilioni ikiwemo miradi yetu 21 yenye thamani ya $4.8BL sawa na Tshs 11.04trillion,

Ziara ya Hafez Ghanem inafuatia kikao cha Rais wetu Samia Suluhu Hassan na Rais wa benki ya dunia Mr David Malpass trh 21|09|2021,Hapa Wale mliokuwa mnalalamika Mhe Rais kawahi Sana kwenda New York fuatilieni vizuri ziara ya Mr Hafez Ghanem mtaelewa kwanini aliwahi,

Mhe Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na Rais huyo wa Bank ya dunia walijadili juu ya juhudi zinazofanywa na Tanzani katika kukabiliana na madhara yatokanayo na janga la Covid -19 pamoja na kuongeza juhudi ya utoaji chanjo lakini pia kuzijengea uwezo sekta binafsi baada ya huu mdororo wa Uchumi chanzo kikiwa ni Corona,

Chanzo hiki kinaonesha Benki ya dunia imeonesha nia ya kuisaidia Tanzania kwenye ununuzi,usafirishaji na usambazaji wa chanjo ya Covid -19 kupitia Shirika lake tanzu la fedha la International Developed Assistance ( IDA) ikiwa ni pamoja na kuboresha mazingira ya biashara ili kuzisaidia sekta binafsi katika kujijenga Upya,

Kwamsiojua, Banki ya dunia inafadhili miradi kama Usafirishaji, Makazi, Elimu, Nishati, Maji,Uhifadhi wa kijinsia, mazingira, mali asili, maendeleo ya teknolojia pamoja na Utawala,

Kwa msiofahamu banki ya dunia iligoma kutupa misaada na mikopo kwa kipindi flani kiasi ambacho ilitulazimu tuanze kukopa mikopo yenye masharti ya kibiashara ambayo ni hatari zaidi kwa Ustawi wa Uchumi wa nchi yetu hasa mikopo toka China,Wote mnajua,Leo hii Wachina wako mbioni kuichukua bandari ya Mombasa ya Kenya kisa marejesho ya Mikopo yenye masharti ya kibiashara,

Riba na muda wa marejesho kwa mkopo wa World Bank ni nafuu sana, Mfano IDA shirika tanzu la World Bank wao riba yao ni 1.56% tu na muda wa marejesho ni hadi miaka 38,hii ni sawa na kusema World Bank wakikupa mkopo leo wa Tshs 100,000 utalazimika kuwalipa|kurejesha jumla ya Tshs 102,000 sawa na riba ya Tshs 2,000 tu kwa miaka 38,Kwa lugha rahisi World Bank ni sawa na kusema hawana riba ila wanakupa pesa ujenge miradi then uirudishe pesa yao, seriously am speechless vile Rais Samia anaupiga mwingi kwa Usahihi mkubwa huu,

Tukubaliane tu,kwa mwendo huu wa connections za Rais Samia kidunia mpaka kufikia 2030 Uchumi wa nchi hii utakuwa ni wakupigiwa mfano duniani,Tumuunge mkono Rais wetu kwa kufanya kazi kwa bidii.

.........Kazi iendelee .........

VIVA TANZANIA VIVA || VIVA SAMIA VIVA [/B]

View attachment 1953360
 
Masaa machache baada ya Rais Samia kuhutubia UN Gen Assembly huko New York Marekani na kurejea nchini || Sasa rasmi Makamu wa Rais benki ya dunia kutua Tanzania 27|28|09|2021.
____________________________________________
Makamu wa Rais wa benki ya dunia anayeshughulikia Ukanda huu wa Mashariki na kusini Mr Hafez Ghanem anatarajiwa kufanya ziara ya siku mbili nchi Tanzania yaani trh 27|28|2021 ikiwa ni matoke ya Rais Samia kusafiri nje ( Mtembea bure si sawa na mkaa bure) ,

Mr Hafez Ghanem ambae ni raia wa Misri|Ufaransa ni mtu mwenye uzoefu sana kuhusu miradi ya maendeleo kwa zaidi ya miaka 30,anasimamia nchi za kusini na Mashariki 26 zenye jumla ya miradi 280 yenye thamani ya $49BL karibu Tshs 112.7trilioni ikiwemo miradi yetu 21 yenye thamani ya $4.8BL sawa na Tshs 11.04trillion,

Ziara ya Hafez Ghanem inafuatia kikao cha Rais wetu Samia Suluhu Hassan na Rais wa benki ya dunia Mr David Malpass trh 21|09|2021,Hapa Wale mliokuwa mnalalamika Mhe Rais kawahi Sana kwenda New York fuatilieni vizuri ziara ya Mr Hafez Ghanem mtaelewa kwanini aliwahi,

Mhe Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na Rais huyo wa Bank ya dunia walijadili juu ya juhudi zinazofanywa na Tanzani katika kukabiliana na madhara yatokanayo na janga la Covid -19 pamoja na kuongeza juhudi ya utoaji chanjo lakini pia kuzijengea uwezo sekta binafsi baada ya huu mdororo wa Uchumi chanzo kikiwa ni Corona,

Chanzo hiki kinaonesha Benki ya dunia imeonesha nia ya kuisaidia Tanzania kwenye ununuzi,usafirishaji na usambazaji wa chanjo ya Covid -19 kupitia Shirika lake tanzu la fedha la International Developed Assistance ( IDA) ikiwa ni pamoja na kuboresha mazingira ya biashara ili kuzisaidia sekta binafsi katika kujijenga Upya,

Kwamsiojua, Banki ya dunia inafadhili miradi kama Usafirishaji, Makazi, Elimu, Nishati, Maji,Uhifadhi wa kijinsia, mazingira, mali asili, maendeleo ya teknolojia pamoja na Utawala,

Kwa msiofahamu banki ya dunia iligoma kutupa misaada na mikopo kwa kipindi flani kiasi ambacho ilitulazimu tuanze kukopa mikopo yenye masharti ya kibiashara ambayo ni hatari zaidi kwa Ustawi wa Uchumi wa nchi yetu hasa mikopo toka China,Wote mnajua,Leo hii Wachina wako mbioni kuichukua bandari ya Mombasa ya Kenya kisa marejesho ya Mikopo yenye masharti ya kibiashara,

Riba na muda wa marejesho kwa mkopo wa World Bank ni nafuu sana, Mfano IDA shirika tanzu la World Bank wao riba yao ni 1.56% tu na muda wa marejesho ni hadi miaka 38,hii ni sawa na kusema World Bank wakikupa mkopo leo wa Tshs 100,000 utalazimika kuwalipa|kurejesha jumla ya Tshs 102,000 sawa na riba ya Tshs 2,000 tu kwa miaka 38,Kwa lugha rahisi World Bank ni sawa na kusema hawana riba ila wanakupa pesa ujenge miradi then uirudishe pesa yao, seriously am speechless vile Rais Samia anaupiga mwingi kwa Usahihi mkubwa huu,

Tukubaliane tu,kwa mwendo huu wa connections za Rais Samia kidunia mpaka kufikia 2030 Uchumi wa nchi hii utakuwa ni wakupigiwa mfano duniani,Tumuunge mkono Rais wetu kwa kufanya kazi kwa bidii.

.........Kazi iendelee .........

VIVA TANZANIA VIVA || VIVA SAMIA VIVA [/B]

View attachment 1953360
Hii ziara ilikuja na kitu
 
Masaa machache baada ya Rais Samia kuhutubia UN Gen Assembly huko New York Marekani na kurejea nchini || Sasa rasmi Makamu wa Rais benki ya dunia kutua Tanzania 27|28|09|2021.
____________________________________________
Makamu wa Rais wa benki ya dunia anayeshughulikia Ukanda huu wa Mashariki na kusini Mr Hafez Ghanem anatarajiwa kufanya ziara ya siku mbili nchi Tanzania yaani trh 27|28|2021 ikiwa ni matoke ya Rais Samia kusafiri nje ( Mtembea bure si sawa na mkaa bure) ,

Mr Hafez Ghanem ambae ni raia wa Misri|Ufaransa ni mtu mwenye uzoefu sana kuhusu miradi ya maendeleo kwa zaidi ya miaka 30,anasimamia nchi za kusini na Mashariki 26 zenye jumla ya miradi 280 yenye thamani ya $49BL karibu Tshs 112.7trilioni ikiwemo miradi yetu 21 yenye thamani ya $4.8BL sawa na Tshs 11.04trillion,

Ziara ya Hafez Ghanem inafuatia kikao cha Rais wetu Samia Suluhu Hassan na Rais wa benki ya dunia Mr David Malpass trh 21|09|2021,Hapa Wale mliokuwa mnalalamika Mhe Rais kawahi Sana kwenda New York fuatilieni vizuri ziara ya Mr Hafez Ghanem mtaelewa kwanini aliwahi,

Mhe Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na Rais huyo wa Bank ya dunia walijadili juu ya juhudi zinazofanywa na Tanzani katika kukabiliana na madhara yatokanayo na janga la Covid -19 pamoja na kuongeza juhudi ya utoaji chanjo lakini pia kuzijengea uwezo sekta binafsi baada ya huu mdororo wa Uchumi chanzo kikiwa ni Corona,

Chanzo hiki kinaonesha Benki ya dunia imeonesha nia ya kuisaidia Tanzania kwenye ununuzi,usafirishaji na usambazaji wa chanjo ya Covid -19 kupitia Shirika lake tanzu la fedha la International Developed Assistance ( IDA) ikiwa ni pamoja na kuboresha mazingira ya biashara ili kuzisaidia sekta binafsi katika kujijenga Upya,

Kwamsiojua, Banki ya dunia inafadhili miradi kama Usafirishaji, Makazi, Elimu, Nishati, Maji,Uhifadhi wa kijinsia, mazingira, mali asili, maendeleo ya teknolojia pamoja na Utawala,

Kwa msiofahamu banki ya dunia iligoma kutupa misaada na mikopo kwa kipindi flani kiasi ambacho ilitulazimu tuanze kukopa mikopo yenye masharti ya kibiashara ambayo ni hatari zaidi kwa Ustawi wa Uchumi wa nchi yetu hasa mikopo toka China,Wote mnajua,Leo hii Wachina wako mbioni kuichukua bandari ya Mombasa ya Kenya kisa marejesho ya Mikopo yenye masharti ya kibiashara,

Riba na muda wa marejesho kwa mkopo wa World Bank ni nafuu sana, Mfano IDA shirika tanzu la World Bank wao riba yao ni 1.56% tu na muda wa marejesho ni hadi miaka 38,hii ni sawa na kusema World Bank wakikupa mkopo leo wa Tshs 100,000 utalazimika kuwalipa|kurejesha jumla ya Tshs 102,000 sawa na riba ya Tshs 2,000 tu kwa miaka 38,Kwa lugha rahisi World Bank ni sawa na kusema hawana riba ila wanakupa pesa ujenge miradi then uirudishe pesa yao, seriously am speechless vile Rais Samia anaupiga mwingi kwa Usahihi mkubwa huu,

Tukubaliane tu,kwa mwendo huu wa connections za Rais Samia kidunia mpaka kufikia 2030 Uchumi wa nchi hii utakuwa ni wakupigiwa mfano duniani,Tumuunge mkono Rais wetu kwa kufanya kazi kwa bidii.

.........Kazi iendelee .........

VIVA TANZANIA VIVA || VIVA SAMIA VIVA [/B]

View attachment 1953360
Nzuri sana
 
Masaa machache baada ya Rais Samia kuhutubia UN Gen Assembly huko New York Marekani na kurejea nchini || Sasa rasmi Makamu wa Rais benki ya dunia kutua Tanzania 27|28|09|2021.
____________________________________________
Makamu wa Rais wa benki ya dunia anayeshughulikia Ukanda huu wa Mashariki na kusini Mr Hafez Ghanem anatarajiwa kufanya ziara ya siku mbili nchi Tanzania yaani trh 27|28|2021 ikiwa ni matoke ya Rais Samia kusafiri nje ( Mtembea bure si sawa na mkaa bure) ,

Mr Hafez Ghanem ambae ni raia wa Misri|Ufaransa ni mtu mwenye uzoefu sana kuhusu miradi ya maendeleo kwa zaidi ya miaka 30,anasimamia nchi za kusini na Mashariki 26 zenye jumla ya miradi 280 yenye thamani ya $49BL karibu Tshs 112.7trilioni ikiwemo miradi yetu 21 yenye thamani ya $4.8BL sawa na Tshs 11.04trillion,

Ziara ya Hafez Ghanem inafuatia kikao cha Rais wetu Samia Suluhu Hassan na Rais wa benki ya dunia Mr David Malpass trh 21|09|2021,Hapa Wale mliokuwa mnalalamika Mhe Rais kawahi Sana kwenda New York fuatilieni vizuri ziara ya Mr Hafez Ghanem mtaelewa kwanini aliwahi,

Mhe Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na Rais huyo wa Bank ya dunia walijadili juu ya juhudi zinazofanywa na Tanzani katika kukabiliana na madhara yatokanayo na janga la Covid -19 pamoja na kuongeza juhudi ya utoaji chanjo lakini pia kuzijengea uwezo sekta binafsi baada ya huu mdororo wa Uchumi chanzo kikiwa ni Corona,

Chanzo hiki kinaonesha Benki ya dunia imeonesha nia ya kuisaidia Tanzania kwenye ununuzi,usafirishaji na usambazaji wa chanjo ya Covid -19 kupitia Shirika lake tanzu la fedha la International Developed Assistance ( IDA) ikiwa ni pamoja na kuboresha mazingira ya biashara ili kuzisaidia sekta binafsi katika kujijenga Upya,

Kwamsiojua, Banki ya dunia inafadhili miradi kama Usafirishaji, Makazi, Elimu, Nishati, Maji,Uhifadhi wa kijinsia, mazingira, mali asili, maendeleo ya teknolojia pamoja na Utawala,

Kwa msiofahamu banki ya dunia iligoma kutupa misaada na mikopo kwa kipindi flani kiasi ambacho ilitulazimu tuanze kukopa mikopo yenye masharti ya kibiashara ambayo ni hatari zaidi kwa Ustawi wa Uchumi wa nchi yetu hasa mikopo toka China,Wote mnajua,Leo hii Wachina wako mbioni kuichukua bandari ya Mombasa ya Kenya kisa marejesho ya Mikopo yenye masharti ya kibiashara,

Riba na muda wa marejesho kwa mkopo wa World Bank ni nafuu sana, Mfano IDA shirika tanzu la World Bank wao riba yao ni 1.56% tu na muda wa marejesho ni hadi miaka 38,hii ni sawa na kusema World Bank wakikupa mkopo leo wa Tshs 100,000 utalazimika kuwalipa|kurejesha jumla ya Tshs 102,000 sawa na riba ya Tshs 2,000 tu kwa miaka 38,Kwa lugha rahisi World Bank ni sawa na kusema hawana riba ila wanakupa pesa ujenge miradi then uirudishe pesa yao, seriously am speechless vile Rais Samia anaupiga mwingi kwa Usahihi mkubwa huu,

Tukubaliane tu,kwa mwendo huu wa connections za Rais Samia kidunia mpaka kufikia 2030 Uchumi wa nchi hii utakuwa ni wakupigiwa mfano duniani,Tumuunge mkono Rais wetu kwa kufanya kazi kwa bidii.

.........Kazi iendelee .........

VIVA TANZANIA VIVA || VIVA SAMIA VIVA [/B]

View attachment 1953360
Kitu kilifanyika
 
Back
Top Bottom