luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,325
- 6,871
Maaalim ni mtu safi sanaaWanasiasa ni wanafiki sana, lakini bahati mbaya zaidi hata vyombo vya habari vimejaa unafiki.
Mzee huyu walimfinyia kila aina ya Fitna ili asitimize adhma yake, lakini baada ya kufa kwake wanatoka mafichoni kumwagia sifa!!
Itoshe kwa leo kuamini siasa ni mchezo mchafu
Mpaka mzee Atik ana kwambia kama siasa za Znz ndio siasa za Kenya bbac Maalim angekuwa mwana siasa Tajir haswaaa
Mzee Atik anasema pasipo shaka Marehemu amefariki bila Mali kama ilivyo wanasiasa wa sasa ambao wengi wao wapo vizuri financially