Makamu mwenyekiti wa chama cha upinzani hana madaraka wala majukumu yoyote kama aliyonayo yule wa CCM

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,598
141,415
Nimejaribu kupitia katiba za Cuf, Nccr, Chadema, TLP na ACT wazalendo nikitaka kuona madaraka aliyonayo Makamu Mwenyekiti wa chama, kiukweli hana majukumu yoyote.

Ni kama vile nafasi hii iliwekwa ili kuimarisha muungano japokuwa vyama karibia vyote vya upinzani havilizingatii hilo.

Chadema kwa mfano, Mwenyekiti anatoka bara, makamu wake anatoka bara na Katibu mkuu anatoka bara, uongozi wa wazanzibari unaanzia kwenye nafasi ya Naibu katibu mkuu japokuwa aliyepo sasa anatoka bara pia wilayani Kinondoni.

Hivyo unaposikia mwanasiasa yoyote nguli wa Upinzani anagombea nafasi ya makamu Mwenyekiti ujue mtu huyo ameshafirisika kisiasa.

Maendeleo hayana vyama!
 
Na wewe uanaweza ukajiita mchambuzi wa masuala ya kisiasa,unataja vyama zaidi ya vitano,unazungumzia muundo wa kimoja na kujifanya umesoma katiba za vyote,wewe na nguruwe pori munatofauti gani!.
 
Nimejaribu kupitia katiba za Cuf, Nccr, Chadema, TLP na ACT wazalendo nikitaka kuona madaraka aliyonayo Makamu Mwenyekiti wa chama, kiukweli hana majukumu yoyote.

Ni kama vile nafasi hii iliwekwa ili kuimarisha muungano japokuwa vyama karibia vyote vya upinzani havilizingatii hilo.

Chadema kwa mfano, Mwenyekiti anatoka bara, makamu wake anatoka bara na Katibu mkuu anatoka bara, uongozi wa wazanzibari unaanzia kwenye nafasi ya Naibu katibu mkuu japokuwa aliyepo sasa anatoka bara pia wilayani Kinondoni.

Hivyo unaposikia mwanasiasa yoyote nguli wa Upinzani anagombea nafasi ya makamu Mwenyekiti ujue mtu huyo ameshafirisika kisiasa.

Maendeleo hayana vyama!
Firisika- filisika.
 
Nimejaribu kupitia katiba za Cuf, Nccr, Chadema, TLP na ACT wazalendo nikitaka kuona madaraka aliyonayo Makamu Mwenyekiti wa chama, kiukweli hana majukumu yoyote.

Ni kama vile nafasi hii iliwekwa ili kuimarisha muungano japokuwa vyama karibia vyote vya upinzani havilizingatii hilo.

Chadema kwa mfano, Mwenyekiti anatoka bara, makamu wake anatoka bara na Katibu mkuu anatoka bara, uongozi wa wazanzibari unaanzia kwenye nafasi ya Naibu katibu mkuu japokuwa aliyepo sasa anatoka bara pia wilayani Kinondoni.

Hivyo unaposikia mwanasiasa yoyote nguli wa Upinzani anagombea nafasi ya makamu Mwenyekiti ujue mtu huyo ameshafirisika kisiasa.

Maendeleo hayana vyama!
Yani wewe ni kilaza kama mwenyekiti wako wa chama. Hujui kitu unajiandikia threads kama unatumia dozi ya kuhara
 
Mkuu johnthebaptist huwa unatia huruma na aibu sana kwa mada zako kama hizi. Hivi kumbe Mzee Mangula ni Mzanzibari? Kwani CCM Mwenyekiti, Makamu Mwenyekiti na Katibu Mkuu hawatoki Tanzania Bara?

Hata hao CHADEMA wana Makamu wa Mwenyekiti wa Zanzibar kama walivyo CCM. Na Makamu wao Mwenyekiti ni kama wa CCM kimadaraka. Tatizo lako unapenda kuanzisha mada hata kwa mambo ya roporopo.

Unageuza Jukwaa la Siasa kuwa Jukwaa la Chit-Chat. Kwanini unateseka sana na CHADEMA? Hebu waachie chama chao basi na ubaki na CCM yako.Bure kabisa wewe binti!
 
Ukishamaliza CCM vs CHADEMA, rudi Waziri Mkuu wa Uingereza vs Waziri Mkuu wa Tanzania vs Waziri Mkuu wa China.

Waziri Mkuu wa Uingereza ana nguvu serikalini kuliko Mkuu wa nchi yaani Malkia, ukilinganisha Tanzania ambapo Mkuu wa Nchi ambaye ni rais ana madaraka makubwa mno huku Waziri Mkuu akiwa hana mamlaka makubwa kabisa.

Waziri Mkuu wa China anapata madaraka na anasimamiwa na Chama huku Waziri Mkuu wa Uingereza anapata madaraka kutoka kwa wananchi ila anasimamiwa na Bunge la wananchi.

Ninataka kumaanisha kwamba, kupanga ni kuchagua.

CHADEMA wamechagua kwamba Mwenyekiti awe na madaraka aliyonayo kwa sasa, na makamu awe hivyo, na hata CCM wameamua kama walivyo.

No offence.

Hakuna cha ajabu hapo mbona!
 
..inategemea.

..Makamu Mwenyekiti wa CCM Mzee Cygwiyemwisi John Malecela alikuwa very active mpaka akapewa jina la utani la " tingatinga. "

..kwa hiyo nafasi Makamu Mwenyekiti wa chama inategemea utayari wa mhusika, malengo na matarajio ya chama, na majukumu atakayopangiwa na chama chake.
 
Nimejaribu kupitia katiba za Cuf, Nccr, Chadema, TLP na ACT wazalendo nikitaka kuona madaraka aliyonayo Makamu Mwenyekiti wa chama, kiukweli hana majukumu yoyote.

Ni kama vile nafasi hii iliwekwa ili kuimarisha muungano japokuwa vyama karibia vyote vya upinzani havilizingatii hilo.

Chadema kwa mfano, Mwenyekiti anatoka bara, makamu wake anatoka bara na Katibu mkuu anatoka bara, uongozi wa wazanzibari unaanzia kwenye nafasi ya Naibu katibu mkuu japokuwa aliyepo sasa anatoka bara pia wilayani Kinondoni.

Hivyo unaposikia mwanasiasa yoyote nguli wa Upinzani anagombea nafasi ya makamu Mwenyekiti ujue mtu huyo ameshafirisika kisiasa.

Maendeleo hayana vyama!
Chadema tayari umetueleza vizuri huo mpangilio wao, haya sasa tujuze Nccr, Cuf, Tlp na Act tuone nao walivoitenga Zanzibar katika mfumo wao wa uongozi kichama.
 
Niliwahi kukuambia kuwa una kasi ya kuanzisha threads hapa JF bila kujitambua kuwa wewe ni kiazi kichwani.
Ni maajabu kuwa pamoja na kuhudhuria kwa muda mrefu elimu darasa hapa JF bado hujaiva kuwa na uelewa hata wa mambo madogo madogo kama haya?
Unaelekea kumpita kwa kasi sana mzee wenu ambaye imefahamika kuwa akili yake imekomaa kiasi kuwa hafundishiki tena na ni mbishi sana.
 
Mkuu johnthebaptist huwa unatia huruma na aibu sana kwa mada zako kama hizi. Hivi kumbe Mzee Mangula ni Mzanzibari? Kwani CCM Mwenyekiti, Makamu Mwenyekiti na Katibu Mkuu hawatoki Tanzania Bara?

Hata hao CHADEMA wana Makamu wa Mwenyekiti wa Zanzibar kama walivyo CCM. Na Makamu wao Mwenyekiti ni kama wa CCM kimadaraka. Tatizo lako unapenda kuanzisha mada hata kwa mambo ya roporopo.

Unageuza Jukwaa la Siasa kuwa Jukwaa la Chit-Chat. Kwanini unateseka sana na CHADEMA? Hebu waachie chama chao basi na ubaki na CCM yako.Bure kabisa wewe binti!

Mkuu una ushahidi kwamba huyu ni binti?
 
Kumbe John the Baptist ni binti, nilikuwa sijui.
Mkuu johnthebaptist huwa unatia huruma na aibu sana kwa mada zako kama hizi. Hivi kumbe Mzee Mangula ni Mzanzibari? Kwani CCM Mwenyekiti, Makamu Mwenyekiti na Katibu Mkuu hawatoki Tanzania Bara?

Hata hao CHADEMA wana Makamu wa Mwenyekiti wa Zanzibar kama walivyo CCM. Na Makamu wao Mwenyekiti ni kama wa CCM kimadaraka. Tatizo lako unapenda kuanzisha mada hata kwa mambo ya roporopo.

Unageuza Jukwaa la Siasa kuwa Jukwaa la Chit-Chat. Kwanini unateseka sana na CHADEMA? Hebu waachie chama chao basi na ubaki na CCM yako.Bure kabisa wewe binti!
 
wengine mbavu zetu zina matatizo kwaiyo msituzidishie ,matatizo yakucheka

Na wewe uanaweza ukajiita mchambuzi wa masuala ya kisiasa,unataja vyama zaidi ya vitano,unazungumzia muundo wa kimoja na kujifanya umesoma katiba za vyote,wewe na nguruwe pori munatofauti gani!.
 
Pamoja sana kiongozi
Nimejaribu kupitia katiba za Cuf, Nccr, Chadema, TLP na ACT wazalendo nikitaka kuona madaraka aliyonayo Makamu Mwenyekiti wa chama, kiukweli hana majukumu yoyote.

Ni kama vile nafasi hii iliwekwa ili kuimarisha muungano japokuwa vyama karibia vyote vya upinzani havilizingatii hilo.

Chadema kwa mfano, Mwenyekiti anatoka bara, makamu wake anatoka bara na Katibu mkuu anatoka bara, uongozi wa wazanzibari unaanzia kwenye nafasi ya Naibu katibu mkuu japokuwa aliyepo sasa anatoka bara pia wilayani Kinondoni.

Hivyo unaposikia mwanasiasa yoyote nguli wa Upinzani anagombea nafasi ya makamu Mwenyekiti ujue mtu huyo ameshafirisika kisiasa.

Maendeleo hayana vyama!
 
CCM
MWENYEKITI (MAGUFULI)-Bara
MAKAMU(MANGULA)-Pemba
KATIBU(LYAKURWA)-Unguja.
Kwa uwiano huu Muungano umeimarishwa.
Acha kupotosha umma kwao Mangula ni Njombe zamani...KATIBU wa CCM ni bara ..naibu Katibu Mkuu ni Rodric Mpogolo ni bara ....wewe unaowazungumzia ni wapi....?
 
Kinachoshangaza ni kwamba CCM ndo wameshupalia mambo ya ndani ya CHADEMA kana kwamba wanataka chama hicho kistawi vizuri..
 
Back
Top Bottom