Zamani halikuwepo made be ya mafuta ya taa yameandikwa shell ubavuni kwa kelele Ni noma,Lisu ni debe tupu
Zamani halikuwepo made be ya mafuta ya taa yameandikwa shell ubavuni kwa kelele Ni noma,Lisu ni debe tupu
Kwa maoni ya baadhi mtandaoni huyo jamaa ndiye Rais Ajaye...lakini mitaani anaonekana kituko kwa wengi...amejipunguzia kura Sana...Ndio ila huyo lissu hawamsemi vizuri mtaani
Mbona unateseka hivyo?!Chamsingi asiombe kura basi, akitaka aende na jolly club akaongee na madada poa
Hahahah yaani anajua kukera huyu mtuIla Lissu mkorofi sana
Tunawasikia sana huku mtaani wale CCM originalKwa maoni ya baadhi mtandaoni huyo jamaa ndiye Rais Ajaye...lakini mitaani anaonekana kituko kwa wengi...amejipunguzia kura Sana...
Hivi unadhani lissu ana bichwa chafu Kama lakoKUKAA NDANI KUNGEMSAIDIA KUFANYA EVALUATION SO FAR
HAYA mwache azurure wee kama kala miguu ya kuku non stop with 0.000000000000001 impact!!!
Madada poa nao Ni wapiga kura wana nafasi zao katika jamiiChamsingi asiombe kura basi, akitaka aende na jolly club akaongee na madada poa
Tuliza mshono HIDAYAWananchi wa kawaida wanajua kavunja sheria ya ya tume na hivyo kumuona mkaidi wanaojua kama hajakosea ni wasomi wachache ambao wengi wao hata kupiga kura huwa hawaendi!!!! si rahihi kukuta wakili au jaji kapanga foleni anapiga kura.Kundi analotaka kulionyesha ni much know halina impact sanduku la kura!!
Watu wa chini ni law abiding wasiotaka mivutano yoyote na serikali .Namwelewa Lisu anataka kujionyesha guru wa sheria kwa kuwa mjeuri wa sheria!!! lakini kwa nani hasa anaotaka kuwaonyesha??? ni wavaa suti wa mahakamani na senior government officials ambao impact yao sanduku la kura ndogo wananchi wa kawaida wanajua kafungiwa ila mjeuri anadharau mamlaka anayetaka kutumia wananchi wa kawaida kama political shield ya ujeuri wake.
Sasa kama unashindia Lumumba unategemea utaskia akisemwa vizuri hapo?Ndio ila huyo lissu hawamsemi vizuri mtaani
Nadhani wewe Dar uliondoka kitambo sana... Jolly kwanza ilishakufa kitambo sana na hizo Biashara za Madada poa zilishaisha zaidi ya miaka 10 na iliyopita... Kuna mkipindi mikutano ya kumvua Kikwete Uenyekiti ulifanyika pale kwenye vuta picha Hao madada poa wangetokea wapiChamsingi asiombe kura basi, akitaka aende na jolly club akaongee na madada poa
Tafadhali Wana jamii tunataka tuwadharau Akina cremea, bwana jela, bint Lowassa n.kKwenda kwani yeye amewaambia watu wamshangilie
kula limaoHizi sasa ni kampeni
Tangu kwenye mwendokasi mnae tu
mbona mchoraji anamdhalilisha Lissu kamchora ana masikio makibwa n.a. mwili wa nyani ana maana gani?The Great TL.
View attachment 1593019
We naye unakua ka mwanamke Malaya !!!!Wananchi wa kawaida wanajua kavunja sheria ya ya tume na hivyo kumuona mkaidi wanaojua kama hajakosea ni wasomi wachache ambao wengi wao hata kupiga kura huwa hawaendi!!!! si rahihi kukuta wakili au jaji kapanga foleni anapiga kura.Kundi analotaka kulionyesha ni much know halina impact sanduku la kura!!
Watu wa chini ni law abiding wasiotaka mivutano yoyote na serikali .Namwelewa Lisu anataka kujionyesha guru wa sheria kwa kuwa mjeuri wa sheria!!! lakini kwa nani hasa anaotaka kuwaonyesha??? ni wavaa suti wa mahakamani na senior government officials ambao impact yao sanduku la kura ndogo wananchi wa kawaida wanajua kafungiwa ila mjeuri anadharau mamlaka anayetaka kutumia wananchi wa kawaida kama political shield ya ujeuri wake.
Kesho kuna mtu wa wanyonge ataamkia Temeke Sterio kununua kabechi.