Makamu Mwenyekiti SHIVYAWATA akabidhi bajaji

WEKKI

JF-Expert Member
Feb 17, 2014
477
145
MAKAMU MWENYEKITI SHIVYAWATA TAIFA AKABIDHI BAJAJ ZA WALEMAVU

Makamu Mwenyekiti wa Shirikisho la Vyama Vya watu wenye ulemavu nchini SHIVYAWATA ambaye ni UMMY NDERINANGA amekabidhi bajaji kwa ajili ya watu wenye ulemavu. Hii itakuwa ni fursa kwao kiuchumi na kuondokana na umaskin pamoja na kuwa omba omba.

Katika hatua hiyo amewaomba walemavu kutokubweteka bali kutumia uwezo wao kujikwamua kiuchumi na hatimaye kuondokana na umaskini
"SHIVYAWATA ipo bega kwa beg kuwasaidia walemavu wote kujikwamua kiuchumi. Tumeanza na hawa wachache lakini inshaallah tutawekeza zaidi ili miradi iwafikie wengi zaidi."Alisema
SHIVYAWATA imekuwa mstari wa mbele kuwasaidia walemavu haswa kwenye awam ya tano.
 
Mbona hii habar kama imekaa kwajili ya kumuongezea umaarufu mtu fulani huko juu kuliko dhamira yenyewe ya kusadia walemavu, any wa huo nimtazamo wangu tu baada ya kusoma kila sentensi, ok sasa walemavu walobaki watapewa lini?
 
mbona hii habar kama imekaa kwajili ya kumuongezea umaarufu mtu fulani huko juu kuliko dhamira yenyewe ya kusadia walemavu, any wa huo nimtazamo wangu tu baada ya kusoma kila sentensi, ok sasa walemavu walobaki watapewa lini?
Mkuu walemvu wapo kibao na huwezwahesav ila kwa juhudi zilizoonekana hatuna budi kuwapongeza SHIVYAWATA
 
Back
Top Bottom