Seif al Islam
JF-Expert Member
- Nov 14, 2011
- 2,156
- 638
Wakati jamii ya wanamabadiliko ikiendelea kujitahidi kusahau uchafu na madudu yaliyozungumzwa na John Shibuda juzijuzi hapa kwenye kikao cha nec cha CCM akikihusisha Chama cha Demokrasia na Maendeleo na ukabila na ukanda na utetezi wa hovyo kabisa na unaofedhehesha Baraza la Vijana na CHADEMA kwa ujumla alioutoa Makamu Mwenyekiti Bavicha Juliana Shonza, mbunge huyo ameibuka tena na kashfa nyingine akiwaita wapinzani kuwa ni machokoraa akidai hawana malezi ya kisiasa.
Haya anayasema katika kipindi hiki ambacho upinzani nchini umeonyesha kukomaa na kujipanga vyema kutwaa dola.kadhalikka haya anayasema wakati chama chake cha CHADEMA kinaendelea na oparesheni za kujijenga mkioani. Kwa mantiki hiyo Shibuda anawatusi wapinzani wote nchini na kuwaita machokoraa akiwamo Juliana Shonza aliyeibuka bila hoja wala mashiko kumtetea mtu huyu mpuuzi.
Najuliza kama Juliana yupo na amedhalilishwa kama alivyodai shibuda kadhalilishwa na heche na yeye leo amedhalilishwa kwa kuitwa choko angeibuka tena na kutoa tamko kaili la kulaani matusi ya shibuda.
Haya anayasema katika kipindi hiki ambacho upinzani nchini umeonyesha kukomaa na kujipanga vyema kutwaa dola.kadhalikka haya anayasema wakati chama chake cha CHADEMA kinaendelea na oparesheni za kujijenga mkioani. Kwa mantiki hiyo Shibuda anawatusi wapinzani wote nchini na kuwaita machokoraa akiwamo Juliana Shonza aliyeibuka bila hoja wala mashiko kumtetea mtu huyu mpuuzi.
Najuliza kama Juliana yupo na amedhalilishwa kama alivyodai shibuda kadhalilishwa na heche na yeye leo amedhalilishwa kwa kuitwa choko angeibuka tena na kutoa tamko kaili la kulaani matusi ya shibuda.