Anasema Nyerere alikuwa na madaraka makubwa na alipenda madaraka hayo ili kuendeleza nchi,si kama viongozi wa sasa wana madaraka makubwa na wanayatumia vibaya
Wasira kweli kazeeka huyu mzee,haeleweki anachoongea.....anasema muswada ulishawakilishwa kwa mara ya kwanza na anasema wananchi walishatoa maoni...yaani huyu mzee pumba tu
Mkosamali anasema hawezi kukaa bungeni kwa kujadili kitu ambacho si halali,huyu mzee wasira cjui vipi anasema muswada ukishafika mezani ni tayari umesomwa mara ya kwanza
mkosamali anasema ilibidi waanze na green paper,white paper halafu ndo mswaada.lakini wasira anasema huo utaratibu ni wakisheria eti unapoteza mda.akatoa mfano;chadema walisema wakati wa uchaguzi waliahidi watatengeneza katiba ndani ya siku 100.je kwa mtindo wanaoufanya si siku mia zingeisha bila la maana?anasema huu ni mswaada jinsi ya kukusanya maoni sio katiba.mia
Pls more updates,
Kiukweli nionavyo CCM walifikiri wangeweza kucheza rafu lakini sasa wanafikiria jinsi ya kuweza kuuondoa muswada huo na wabunge wao wasiwe mbongo.
Shame on CCM,
mkosamali anasema mswaada wa tarehe15/4/2011 ulikuwa wa kingereza na ulirudishwa wautafsiri kwa kiswahili.lakini baada ya kuutafsili wameleta kitu kingine kabisa tofauti na kile cha 15/4.so ilitakiwa wasome kwa mara ya kwanza kwa kuwa una mambo yanayotofautiana na ule wa mala ya kwanza ambao ulirudishwa utafsiriwe.lakini wasira anang'ang'ania mswaada ndo uleule eti hakuna kilicho haribika.anajihami kwa kusema eti mkosamali ametoka shule hivi karibuni asitake kuchanganya watu.mia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.