Mr.Professional
JF-Expert Member
- Oct 4, 2010
- 1,582
- 258
Hiyo yote ni gharama za uzalendo wa kweli na harakati za dhati za ukombozi tupo nyuma yao hawa mavuvuzela hayawezi kuwafanya kitu.
Makamu mwenyekiti wa Bavicha Taifa,Juliana na wenzake watatu wamepelekwa mahakama ya kisutu kwa ajili ya kusomewa Shitaka lao,hadi muda huu bado hawajasomewa shitaka hilo,nitaendelea kuwapa taarifa ya kinachoendelea na kama kuna mtu ambae yupo mahakamani aendelee kutujuza..
udini at work=jk at work
Hivi hawa policy wa tanzania nani amewaroka? mbona mnatutia aibu hembu jitambueni hamna kazi za kufanya mbona vibaka kila kona ya jiji watu wanaibiwa vibaya sana kazi zenu hamzijui jamaani hamna job description? mnaboa sana.
Wawekwe lupangu kama mh mkuu wa kambi ya upingani
Mkuu umeshapata taarifa zaidi juu ya makosa yao?
Makamu mwenyekiti wa Bavicha Taifa,Juliana na wenzake watatu wamepelekwa mahakama ya kisutu kwa ajili ya kusomewa Shitaka lao,hadi muda huu bado hawajasomewa shitaka hilo,nitaendelea kuwapa taarifa ya kinachoendelea na kama kuna mtu ambae yupo mahakamani aendelee kutujuza..
Mkuu umeshapata taarifa zaidi juu ya makosa yao?