JOHN MADIBA
JF-Expert Member
- Jan 30, 2011
- 251
- 155
Hivi hii serikali ya ccm inataka nini nini? Wamechakachuia tumenyamaza, wameua arusha tukakaa kimya, wamemkamata mbowe tumenyamaza, wameua, wamemkamata mbowe tumenyamaza, sasawamewakamata vijana wa bavicha makamu a bavicha juliana. According to john mnyika dakika 10 zilizopita ametuabarisha tukio hili na wamewapeleka kituo cha oyesterbay