Hute
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,538
- 6,456
jamani, nina shida ya kupublish kitabu, kimeshaandikwa na kueditiwa, tatizo natafuta kampuni ya kuchapisha vitabu itakayofanya kwa bei ya chini kabisa, kama kuna mtu anayeyafahamu makampuni hayo naombeni anielekeze ni yepi, kwa wazoefu wa kutunga na kuchapisha vitabu vya kuuza wanaweza kutoa uzoefu wao hapa pia ili pamoja na mimi wengine humu ndani wafaidike...asanteni sana.