Makampuni ya Tanzania ya usafirishaji yanakwama wapi, maana yanasababisha nchi inaingia kwenye migogoro na majirani wote

Kujua kuwa watu wanakufa kwenye nchi nyingene nimejua kupitia vyombo vya habari mfano equado na brazil watu wamekufa sana, ninavyo elewa hii ni miradi ya watu ambao wanataka watajilike kupitia ugonjwa huu, kama vitendea kazi wanatupa wao posibility ya kuweka corona kwenye vifaa nikubwa so watu wanaweza wakawa wanaambukizwa kipindi wanavyo pima Me siamini kama JMP ni mjinga kiasi hicho
Wangonjwa wa corona tz wapo ila kuendelea kutoa takwimu hofu inaongezeka so me kama church boy maandiko yananiambia hofu huleta giza kwaiyo hatuwezi tukamuacha giza (corona) aendele kutawala kama tulimwomba Mungu tuamini ivyo ivyo Mungu katuponya

Kujifungia ndani au paricial lockdown ni ukichaa kwani corona ipo usiku pikee yake, taadhali ni muhimu sana so sio kila kitu tu copy na ku pest kwenye nchi yetu kila mtu anambinu zake kama USA wamejitoa WHO maana yake hawafuati maelezo yao sisi ni nani tuendelee kushilia non sense toka kwao

Mkuu nchi zote zinatangaza takwimu za ugonjwa kwa maana njema tu ya kujiweka katika namna nzuri zaidi ya kupambana nao.

Habari za Ecuador na Brazil ulizosikia kwenye vyombo vya habari asili yake (source) ni takwimu tokea katika serikali husika.

Kwamba takwimu zinaleta hofu? Si kuwa takwimu zinawafanya watu kuchukua tahadhari zaidi?

Fikiria, eneo fulani kuna hatari ya simba anayezagaa huru. Wewe unaona ni vyema unyimwe taarifa hiyo ili ukakutane naye ana kwa ana tu huko huko bila taarifa yoyote?

Kwamba kuna miradi ya watu ili watajirike kupitia ugonjwa huu?

Mkuu haipo nchi hata moja duniani yenye mawazo kama haya. Zipo jumla ya nchi takribani 195 duniani. Ni Tanzania tu ndiyo imestukia huo mchezo kuwa kuna watu tu wanashadadia huu ugonjwa ili kutajirika? Kama hivyo ni kweli hao unaowasikia kuwa kweli wanakufa huko Ecuador na Brazil tena inakuwa vipi?

Kuwa aliyestukia kuwa hili ni dili la utajiri, kwa hiyo ina maana mlengwa au mwathirika wa dili hilo ni Tanzania peke yake? Kwa uchumi upi?

Mengi unayoyasikia ni mbwembwe tu kujaribu kuficha takwimu. Tuliowapa dhamana wanajua kuwa hatuko katika njia salama wala sahihi. Takwimu ilikuwa muhimu kujua tuelekee wapi kibaya ni kuwa haiyumkiniki wakizitoa wanaogopa kuwa zitawaumbua.

Misahafu inasema, "watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa."

Zaidi pia, imeandikwa tusimjaribu bwana Mungu wetu!
 
Mkuu nchi zote zinatangaza takwimu za ugonjwa kwa maana njema tu ya kujiweka katika namna nzuri zaidi ya kupambana nao.

Habari za Ecuador na Brazil ulizosikia kwenye vyombo vya habari asili yake (source) ni takwimu tokea katika serikali husika.

Kwamba takwimu zinaleta hofu? Si kuwa takwimu zinawafanya watu kuchukua tahadhari zaidi?

Fikiria, eneo fulani kuna hatari ya simba anayezagaa huru. Wewe unaona ni vyema unyimwe taarifa hiyo ili ukakutane naye ana kwa ana tu huko huko bila taarifa yoyote?

Kwamba kuna miradi ya watu ili watajirike kupitia ugonjwa huu?

Mkuu haipo nchi hata moja duniani yenye mawazo kama haya. Zipo jumla ya nchi takribani 195 duniani. Ni Tanzania tu ndiyo imestukia huo mchezo kuwa kuna watu tu wanashadadia huu ugonjwa ili kutajirika? Kama hivyo ni kweli hao unaowasikia kuwa kweli wanakufa huko Ecuador na Brazil tena inakuwa vipi?

Kuwa aliyestukia kuwa hili ni dili la utajiri, kwa hiyo ina maana mlengwa au mwathirika wa dili hilo ni Tanzania peke yake? Kwa uchumi upi?

Mengi unayoyasikia ni mbwembwe tu kujaribu kuficha takwimu. Tuliowapa dhamana wanajua kuwa hatuko katika njia salama wala sahihi. Takwimu ilikuwa muhimu kujua tuelekee wapi kibaya ni kuwa haiyumkiniki wakizitoa wanaogopa kuwa zitawaumbua.

Misahafu inasema, "watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa."

Zaidi pia, imeandikwa tusimjaribu bwana Mungu wetu!
Kama simba tushajua yupo so kila mtu apambane na hali yake kujiokoa, tambua kua mtu mwenye tumaini ana maisha , tuendelee kumtumaini Mungu ili tuendele kuwa na maisha kwenye hili la corona naamini kwenye subconcious mind sometime mtu unaweza umwa hata kufa kwa sababu ya hofu, so tukipamban na hofu afu twende kwenye corona
Afu kuhusu hii ni miradi ya watu angali WHO walikuwa wanapinga tiba nyingi za africa mbona china hawakupigia kelele ila kwa africa wanapinga kuwa na tiba tunazo zijua sisi na watu wetu, watu kama bill gate wanawezekeza pesa zao kwenye mahabara za kisasa afu wewe uje na Mungu, miti shamba na kujifukiza unazani wanaelewa lazima watapinga tambua in future dawa hizo zikipatikana hazitapatikana bure, government lazima itanunua toka kwao so wao watakuwa matajili hadi vitukuu vyao
Hofu huleta giza (corona), na wamtumainio Bwana ni kama mlima sayuni hawata tikisika
 
Sasa kama hyo 1.5trn ilichotwa na budget deficit ikawepo kama kawaida unataka kubisha nn kuwa hakuna mirad iliyokwama wakat hata wasingepiga hyo pesa bado kuna mirad ingekwama coz ya kutofikia malengo ya makusanyo na vyanzo vingine kutofikia budget iliyopangwa

Ukumbuke hyo pesa haikuwa imepangiwa matumiz hapo, ilichotwa moja kwa moja kutoka hazina na si wizarani
Budget deficit ndio mara ya kwanza kutokea Tanzania?

Kuna tofauti kubwa kati ya budget deficit na robbed already allocated money

Mimi naongelea hiyo cash 1.5T
 
Sasa kama hyo 1.5trn ilichotwa na budget deficit ikawepo kama kawaida unataka kubisha nn kuwa hakuna mirad iliyokwama wakat hata wasingepiga hyo pesa bado kuna mirad ingekwama coz ya kutofikia malengo ya makusanyo na vyanzo vingine kutofikia budget iliyopangwa

Ukumbuke hyo pesa haikuwa imepangiwa matumiz hapo, ilichotwa moja kwa moja kutoka hazina na si wizarani
Unaongea taarab tu hapa
Ufisadi wote wa serikali ulikokua enzi zote unaonesha ni kwa mbinu gani pesa ziliibiwa, Richmond, dowans, iptl, meremeta, escrow, lugumi yaani zote hizi scandals na nyingine zote zina majina kabisa

Ila ni 1.5T pekee ndio haijulikani imeibiwa vipi sababu ni propaganda ya kipimbi kuwakamata mapimbi wenye akili finyu, kwa taarifa yako tu huwezi hata siku 1 kuiibia serikali bila kuandaa malipo hewa (procurement) Ufisadi wote kwenye serikali duniani hutokea kwenye government tenders and procurement kwa 97%

Hazina hawawezi kuachia pesa hata siku 1 bila kujua zinaenda kulipia nini hii ni kisheria sasa
Sababu ninyi hampo kwenye system wala akili ndogo tu hamna lazima propaganda kama hizi ziwasombe sababu obviously wajinga hawawezi kuisha duniani lazima wawepo tu hata wachache.
 
Kama simba tushajua yupo so kila mtu apambane na hali yake kujiokoa, tambua kua mtu mwenye tumaini ana maisha , tuendelee kumtumaini Mungu ili tuendele kuwa na maisha kwenye hili la corona naamini kwenye subconcious mind sometime mtu unaweza umwa hata kufa kwa sababu ya hofu, so tukipamban na hofu afu twende kwenye corona
Afu kuhusu hii ni miradi ya watu angali WHO walikuwa wanapinga tiba nyingi za africa mbona china hawakupigia kelele ila kwa africa wanapinga kuwa na tiba tunazo zijua sisi na watu wetu, watu kama bill gate wanawezekeza pesa zao kwenye mahabara za kisasa afu wewe uje na Mungu, miti shamba na kujifukiza unazani wanaelewa lazima watapinga tambua in future dawa hizo zikipatikana hazitapatikana bure, government lazima itanunua toka kwao so wao watakuwa matajili hadi vitukuu vyao
Hofu huleta giza (corona), na wamtumainio Bwana ni kama mlima sayuni hawata tikisika

WHO ni taasisi la kisayansi na linafanya mambo yake kwa kufuata protocols, hawawezi wakabariki kikombe cha babu bila kufuata taratibu zilizopo, ukifuatilia vizuri utaona huwa wana mikwaruzano hata na Marekani au Trump anapoibuka na mapendekezo ya ajabu ajabu kuhusu dawa gani itumike.
Mpaka sasa hamna aina ya dawa hata moja ambayo WHO wameidhinisha rasmi, zote zipo kwenye majaribio, na kile wanakisema ni kwamba hivi vikombe vya Afrika muwape sampuli wakague kwenye maabara zao kabla kuidhinisha rasmi, sio unakurupuka Tandale huko na kujiita dokta wa Corona halafu utegemee wakutangaze bingwa.
Pia usitegemee waidhinishe kauli zenu za kwamba corona inafia kanisani, ile ni taasisi ya ulimwengu na inaendeshwa kwa miongozo ya kisayansi.
 
Tuwekeane test kama nani ataumia, tufunge mipaka kwa mwezi mmoja tu tuone nani ataumia. Usichezee nchi yenye supply na Kenya wenye deficit useme nani ataumia zaidi.

Hatuwategemei mnavyofikiri, tuna emerging markets ya Commoro na south Africa, bado SADC region tushaanza kupeleka. Rwanda ameshatuelewa wala hana shobo kama nyie.
Tufunge kwa mwezi mmoja tuone nani mwamba msilete kujifanya mnajua sana. Kupiga perepere manajua sana lakini sisi tunafanya kwa vitendo zaidi.
 
Kenya endeleeni na partial lock down aka curfews baada ya miezi 9 mtapata majibu na mimba za kutosha na mtakoma na rising demand ya food.
Time will tell
 
Kajifunze kwanza kiswahili maana unaandika utumbo tu. Bora hata uandike kwa English
Nyinyi mnapenda mbwembwe tu.. Ili wananchi wenu waone viongozi ni simba.
Ni Sawa. Mawaziri watakutana, picha xichukuliwe kuwafurahisha mlivyo ikalia Kenya, lakini mwisho ni hapo.. Mipango yetu inasonga mbele
 
Hamia Kenya ukafuate guidelines za WHO za kujifungia ndani ule mavi yako. Wewe ndo wale milifeli sababu ya copy and paste
Mimi ni mtanzania ila nakiri kwa hili tunakosea Sana sijui viongozi wetu wana Nia gani na sisi. Wanashindwa vipi kuendana na guidelines za WHO
 
WHO ni taasisi la kisayansi na linafanya mambo yake kwa kufuata protocols, hawawezi wakabariki kikombe cha babu bila kufuata taratibu zilizopo, ukifuatilia vizuri utaona huwa wana mikwaruzano hata na Marekani au Trump anapoibuka na mapendekezo ya ajabu ajabu kuhusu dawa gani itumike.
Mpaka sasa hamna aina ya dawa hata moja ambayo WHO wameidhinisha rasmi, zote zipo kwenye majaribio, na kile wanakisema ni kwamba hivi vikombe vya Afrika muwape sampuli wakague kwenye maabara zao kabla kuidhinisha rasmi, sio unakurupuka Tandale huko na kujiita dokta wa Corona halafu utegemee wakutangaze bingwa.
Pia usitegemee waidhinishe kauli zenu za kwamba corona inafia kanisani, ile ni taasisi ya ulimwengu na inaendeshwa kwa miongozo ya kisayansi.
Mkuu hivi ni vita aise kama USA mbabe wa dunia amekataa ushikamano na WHO we ninani kenya au Tz ambaye ushikamane nae, sema hapo viongozi wenu wanataka kuendelea kukopa pesa kwa mabeberu afu mzigo wote utawaelemea wananchi wa kenya ambao wanataka kuchapa kazi.
Kila mtu atumie mbinu zake hadi hapa tulivyo fika, kipindi cha nyuma nilikaa mbeya kama miaka 20 sikuwai tumia biadhaa ya kenya zaidi ya malawi na zambia, so kenya kwenye uchumi watanzania mna mazala kidogo sana wacha tufunge mipaka hata miezi 3 tuone nani ataumia.
Ngoja sisi tumtumaini Mungu tuone matokeo yao hatuwezi kumkimbia shetani tujifungie ndani akichoka kukaa nje peke yake atakuja ndani sijui hapo mtakimbilia wapi, bora kupambana nae mambo mengine yaendelee
 
Mkuu hivi ni vita aise kama USA mbabe wa dunia amekataa ushikamano na WHO we ninani kenya au Tz ambaye ushikamane nae, sema hapo viongozi wenu wanataka kuendelea kukopa pesa kwa mabeberu afu mzigo wote utawaelemea wananchi wa kenya ambao wanataka kuchapa kazi.
Kila mtu atumie mbinu zake hadi hapa tulivyo fika, kipindi cha nyuma nilikaa mbeya kama miaka 20 sikuwai tumia biadhaa ya kenya zaidi ya malawi na zambia, so kenya kwenye uchumi watanzania mna mazala kidogo sana wacha tufunge mipaka hata miezi 3 tuone nani ataumia.
Ngoja sisi tumtumaini Mungu tuone matokeo yao hatuwezi kumkimbia shetani tujifungie ndani akichoka kukaa nje peke yake atakuja ndani sijui hapo mtakimbilia wapi, bora kupambana nae mambo mengine yaendelee

Nimesoma mistari miwili nikashindwa kuendelea maana hata sidhani mwenyewe umekaa ukatafakari nini unaandika kuhusu, Watanzania huwa mna uzembe sana likija kwenye suala la kutumia ubongo.
Ndio maana huwa nawapuuza wengi wenu humu.
 
Nimesoma mistari miwili nikashindwa kuendelea maana hata sidhani mwenyewe umekaa ukatafakari nini unaandika kuhusu, Watanzania huwa mna uzembe sana likija kwenye suala la kutumia ubongo.
Ndio maana huwa nawapuuza wengi wenu humu.
Nyie endeleeni kuiga vitu msivo viweza mtakufa njaa
 
Back
Top Bottom