Makampuni ya simu, yameshusha gharama saana za kupigia simu ndani ya mtandao na hata kwenda mitandao mingine. Ukifikiria kule tulipoanzia wakati vocha zinauzwa kwa Dollar na leo hii hadi zinatozwa kwa senti ni mabadiliko makubwa. JE HUDUMA HII INAWEZA KUWA YA BURE MIAKA IJAYO ??.