Makampuni ya simu.

Kivia

JF-Expert Member
Nov 2, 2010
278
32
Makampuni ya simu, yameshusha gharama saana za kupigia simu ndani ya mtandao na hata kwenda mitandao mingine. Ukifikiria kule tulipoanzia wakati vocha zinauzwa kwa Dollar na leo hii hadi zinatozwa kwa senti ni mabadiliko makubwa. JE HUDUMA HII INAWEZA KUWA YA BURE MIAKA IJAYO ??.
 
Bure? Sasa kampuni zitajiendesha vipi? Pia kushaka kwa bei ni kwa sababu ya competition kubwa sana, nadhani sooner or later kuna kampuni zitashindwa kukeep up na zitakufa au zitanunuliwa, hapo bei itapanda tena. Kwa wawazo yangu kuna wanaooperate at a loss ili kukamata market share.
 
Bure? Sasa kampuni zitajiendesha vipi? Pia kushaka kwa bei ni kwa sababu ya competition kubwa sana, nadhani sooner or later kuna kampuni zitashindwa kukeep up na zitakufa au zitanunuliwa, hapo bei itapanda tena. Kwa wawazo yangu kuna wanaooperate at a loss ili kukamata market share.

Katika kila shilingi mia moja unayotumia katika serikali inapata kodi ya karibia shilingi 30. Sasa wakati tariff ikiwa shilingi 5 kwa sekunde, ina maana serikali ilikuwa inapata shilingi 1.5 kwa sekunde. Kwa tariff za sasa za nusu shilingi ina maana serikali nayo inapata kodi ya senti 15 kwa katika sekunde ya maongezi. Sasa kama muda wa watu kutumia simu hautaongezeka elastically kuendana na kupungua kwa bei, unaweza kuona sio makampuni tu yatapoteza, hata mapato ya kodi kwa serikali yatapungua significantly.

Hata hivyo kwa sie 'kunguru' vita vya 'panzi' ni neema kwetu!
 
Ilikuwa ni dollar, afu shilingi 360 kwa dakika, uwe umeongea sekunde moja au sekunde 59. Mpaka leo wengi bado wanaita vocah 'dola'.

Ila message zilikuwaga bure (kwa voda ilipoanza)
 
katika kila shilingi mia moja unayotumia katika serikali inapata kodi ya karibia shilingi 30. Sasa wakati tariff ikiwa shilingi 5 kwa sekunde, ina maana serikali ilikuwa inapata shilingi 1.5 kwa sekunde. Kwa tariff za sasa za nusu shilingi ina maana serikali nayo inapata kodi ya senti 15 kwa katika sekunde ya maongezi. Sasa kama muda wa watu kutumia simu hautaongezeka elastically kuendana na kupungua kwa bei, unaweza kuona sio makampuni tu yatapoteza, hata mapato ya kodi kwa serikali yatapungua significantly.

hata hivyo kwa sie 'kunguru' vita vya 'panzi' ni neema kwetu!



wacha ya pungue kwani sioni faida yake, serekali kila siku inakopa kwa ajili ya miradi ya maendeleo, kodi zetu wananywea chai na kupeleka viduku vyao nje ya nchi!
 
Back
Top Bottom