Eng. Zezudu
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 7,806
- 10,774
Ofa zangu za vifurushi vya data vinaanzia elfu kumiHamjajua kitu hapa ,hapa tumevurugwa lugha kama mnara wa babeli ,wewe unaposema vifurush vimepanda wengine tunakushangaa ofa za kila mtu zipo mfano vodacom ina ofa kwa kila mtu ambazo hutofautiana.hivyo hatuwez kuwa na lugha moja juu ya wiz wa bando unaofanywa na mitandao hii kwassbab kila mtu amepewa ofa zake za ununuz kutokan na matumiz yake
Sent using Jamii Forums mobile app