vyuku
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 503
- 85
Makampuni ya simu za mkononi nchini Tanzania wanawaibia sana wateja wao kwa kuwakata pesa bila ya wao kujijua,kampuni iliyotia fora hasa ni Airtel na voda ambazo ukiweka salio tu wanaiba,tumejaribu kuwasikitikia baadhi ya watu tunaowaelewa wanaofanya kazi ktk kampuni hizo wamekiri ni kweli wanaiba kwa ajili ya kulipia gharama zao za matangazo na udhamini,ukitaka kubaini hilo weka salio kisha wacha usitumie hd siku ya pili kisha angalia salio lako.