Makampuni ya madini kufukuza wafanyakazi wanaounga mkono CHADEMA

We can

JF-Expert Member
Sep 4, 2010
678
47
Ndg zangu, mwezi uliopita tulisikia kwamba kuna wafanyakazi 2 walifukuzwa kazi Barrick Buzwagi kwa kushabikia CHADEMA. Mwenye taarifa zaidi atupatie jamani. Hii ni hatari kama ni kweli
 
Barrick na ESS wametoa fungu la kuhakikisha CCM inabaki madarakani ili waendelee kuinyonya nchi hii...
 
Hata ningekuwa mimi ningewatimulia mbali haiwezekani, kumuunga mkono mtu ambaye anahatarisha maslahi ya wawekezaji
 
Hata ningekuwa mimi ningewatimulia mbali haiwezekani, kumuunga mkono mtu ambaye anahatarisha maslahi ya wawekezaji

Ubongo wako unahitaji tiba ya haraka sana. Nakushauri ukamwone daktari bingwa wa magonjwa ya akili. Unless utuambie may be unafanya kazi Mirembe Dodoma na mmoja wa wagonjwa ameiba password yako akamwaga huu upupu jeif.
 
washukuru wamefukuzwa mi ningeaweka ndani kabisa mpaka tar 1 NOV 2010
uwezi changanya kazi yangu na siasa ukaileta ajirani...tena kama mna cotwu watafuten hao tuwapumzishe mpaka tar moja nov
 
Ubongo wako unahitaji tiba ya haraka sana. Nakushauri ukamwone daktari bingwa wa magonjwa ya akili. Unless utuambie may be unafanya kazi Mirembe Dodoma na mmoja wa wagonjwa ameiba password yako akamwaga huu upupu jeif.

WEWE UNASEMA
TUKO HAPA KIMASLAHI ZAIDI
avatar18075_2.gif

YALAAA YALAAAH YALAAHA YALAAAH YASHABABI YALAAH NJOONI WOTE TTULICHEZE NGOMA KANIKUMBUSHA MBALI KIPINDI NIKO MISRI SIJAELEKEA KAANANI
 
hebu tuacheni watu wasuport wanachopenda, kam mtu hapendi kula ugali ni lazima umlazimishe? jamani viongozi wa makampuni acheni wafanyakazi wafanye kazi na siasa ziacheni kam zilivyo
 
Ndg zangu, mwezi uliopita tulisikia kwamba kuna wafanyakazi 2 walifukuzwa kazi Barrick Buzwagi kwa kushabikia CHADEMA. Mwenye taarifa zaidi atupatie jamani. Hii ni hatari kama ni kweli

Ulikuwa ushakunywa mbege hivyo chochote ulichokisikia wakati ule ni NULL and INVALID. Baada ya pombe kukutoka, tingisha kichwa hivi :A S 13: halafu mtafute aliyekuambia hayo maneno akuambie tena.
 
washukuru wamefukuzwa mi ningeaweka ndani kabisa mpaka tar 1 NOV 2010
uwezi changanya kazi yangu na siasa ukaileta ajirani...tena kama mna cotwu watafuten hao tuwapumzishe mpaka tar moja nov

Haha haaa ! Yes, some time lazima tuwe SERIOUS like this. Watanzania tusijiweke chini saaaaana kiasi cha kutufanya tujione tunaonewa kwa kila kitu. Ikumbukwe sheria ipo pale pale. Hata kama tunapenda kitu fulani lakini lazima tuzingatie sheria husika, na pindi tukiivunja tusitafute visingizio. Oohoo mimi CHADEMA, mara mimi Msukuma. mara ..........!

Mimi nasema hivi ni vizuri tukapenda mabadiliko, lakini ni lazima tuzingatie sheria hasa maeneo yetu ya kazi, Ili tusije tukapoteza vibarua vyetu. We must fght for the change in a more democratic way, with a sense of Respect, Power, confidense and Thoughts

Amani iwe nanyi ninyi nyote muishio chini ya jua.
 
Back
Top Bottom