Makampuni ya kichina yaangaliwe

Kyenju

JF-Expert Member
Jun 16, 2012
4,621
1,706
Miongoni mwa makampuni yanayopata faida nyingi ni makampuni ya ujenzi. Nimeleta uzi huu kwasababu nimekuwa malalamiko kutoka kwa watu wanaofanyakazi kwenye makampuni ya kichina, mala nyingi wamekuwa wakilalamika kwa kitendo cha kulipwa malipo kidogo, kufanyakazi kwenye mazingira magumu, kufanyakazi kwa muda mrefu bila mikataba ya kazi fikiria mtu anafanyakazi miaka 5 au 7 hana mkataba wa kazi hana uhakika wa matibabu hana mafao baada ya kazi.

Kuna kampuni moja nitaitaja hii kampuni ni CCECC wananyanyasa sana.
 
Those guys have to stand for their rights if at all they know whats supposed to be their due.

Bila kuungana watakuwa wanacheza. Kulalamika mmojammoja ni rahisi kuundiwa zengwe na kutimuliwa.
Waandamane mbele ya media na kuwafungia hao waajiri-mbuzi kitaeleweka fasta.
 
Those guys have to stand for their rights if at all they know whats supposed to be their due.

Bila kuungana watakuwa wanacheza. Kulalamika mmojammoja ni rahisi kuundiwa zengwe na kutimuliwa.
Waandamane mbele ya media na kuwafungia hao waajiri-mbuzi kitaeleweka fasta.

Mkuu mimi kuna kijana mmoja alinipa habari hiyo nimefika na kuhakiki mambo haya, walio wengi wanaogopa kufukuzwa si unajua mala nyingi wanakuwa ni vijana wenye elimu ndogo wanaogopa kufukuzwa.
 
Inauma sana wakuu, ila mi lawama zangu nazielekeza kwa serikali kwa kuzidiwa nguvu na hao wachina!
 
Back
Top Bottom