Mwanagenzi
JF-Expert Member
- Sep 11, 2006
- 700
- 213
Serikali, katika mazingira ya utata kiasi na kasi kubwa, iliamua kutoa uraia kwa waliokuwa wakimbizi wa Burundi, wengi wao waliokuwa wakiishi kwenye Makazi ya Katumba na Mishamo huko Mpanda. Inasemekana eneo hilo lina dalili za kuwa na madini mengi ya thamani. Hivi karibuni, WM aliongoza mkutano mkubwa wa wawekezaji wa kilimo, ambao wanakusudia kutumia ardhi ya yaliyokuwa makazi kwa ajili ya kilimo cha kibiashara. Wengi wa wawekezaji hao wanatoka Marekani. Tafakari, chukua hatua...