Kama kweli hii story ni ya kweli basi,kuna uzembe mkubwa umefanyika ,nimachojua Mimi askari huwa wanakuwa kwenye escort za pamoja wanapoenda lindoni ,sasa cha kushangaza huyu polisi anawezaje kutoka na silaa akiwa peke yake na mpaka kufikanayo geto? Sina uzoefu na mambo ya jeshi lakini hii kwa akili ya kawaida tu hainiingii hakilini. Wanaojua sheria za jeshi mtusaidie hapa mtu anawezaje kwenda na silaha getoni ?Habari za asubuhi wana JF
Katika mji Mdogo wa kibiashara uitwao Makambako ulio mkoani Njombe asubuhi ya leo Askari polisi ajulikanae kwa majina ya Zakayo Dotto Kileka amemtwanga risasi na kumsababishia umauti mpenzi wake ambae ni mwanajeshi ajulikanae kwa jina la Neema.
Neema alikua akifanya kazi JWTZ Camp ya Makambako na Zakayo nae ni Polisi Makambako.
Inasemekana Zakayo alichukua silaha kituoni asubuhi ya leo tayari kwa kwenda lindo katika benk ya NBC Makambako na ndipo aliponyoosha hadi nyumbani kwa neema na kumsababishia umauti huo.
Zakayo ametoroka na juhudi za kumsaka zinaendelea. Chanzo cha ugomvi hakijajulikana bado zaidi ya kuhisiwa kua ugomvi wa mapenzi.
NB: Naomba CCP waongeze kozi ya saikolojia kwa askari wetu. Matukio kama haya yanajirudia sana kwa polisi na askari magereza.
Wewe unathibitisha u bado kindaKumanina akikamatwa na wajeshi ameliwa
Cyo polisi wala jwtz waliojitokeza kutoa habari kamili na kisa cha mauaji haya hadi sasahivi.Ni wivu wa kimapenzi au tatizo ni nini
wangeongeza vigezoKazi yoyote inayofanywa na waliofeli form four ndiyo wakakimbilia huko usitegemee ufanisi wowote.
Kuishi na askari inahitaji moyo sana sijui.hua wanapewa nini wakishaingia kambini na wakitoka wanakua sio wao tena hapo hamna kingine zaid ya ugomvi wa mapenzi...labda jamaa kahisi au kaambiwa au kaona mwenzie anamsaliti pengine kwa vibosile wa huko ujedani
waongezewe mda wa mafunzoMkuu uweledi, hekima na busara za askari wa jwtz aliehitimu form four huwezi linganisha na akili ya polisi wa form four. Polisi bado ovyo sana. CCP inahitaji kitu cha nyongeza
Haifikii wala kumkaribia magufail.Yani huyo sijui akimbilie wapi jamn......na aombe mungu asitangulie kushikwa na wa mabaka mabaka......by the way jamaa anaroho katili sana duu
Hata wanachuo mambo ni hayahayaKajinga sana, Polisi nawashauri mchukue wasomi kuanzia elimu ya Chuo na mshahara uwe mkubwa mtaona ufanisi wa jeshi, tatizo tunakimbilia kubeba watu walikwisha haribika akili kwa kukosa ajira.
Unaona sasa !Inasemekana japo siyo rasmi kua Neema alikua na kabwana kengine kamabakamabaka