Makamba aseme waislam hawakusoma kipindi kipi?
Pia ataje ratio ya hao waislam wachache ambao wamesoma ndio ratio ya waislam kwenye ajira?
Yusuf makamba ndo mana waislam wanamwita joseph makamba kutokana na huu ujinga wake wa kuwakebehi waislam.
Hii takwimu makamba kaitoa wapi?
Mbona waislam walivyotaka kuweka hiki kipengele katika sensa wakristo na serikali yao walipinga.
Makamba acha kuwakebehi waislam, hii dunia tunapita tu!
kumbuka ipo siku utakufa na utahukumiwa kutokana na huu upuuzi unaofanya.
Makamba mbona hajasema kuwa NECTA ndio machinjio makuu ya waislam!
Wewe sasa ndio unaeleta Udini! Kama huna cha kukoment kaa kimya sio lazima utafute watu wakubaliane na mtazamo wako.
Kwani wapi umeona Uislamu au Ukristo umekashifiwa!? Makamba kawaeleza Waislamu ukweli na kuwashauri kuwasomesha watoto shule wapate elimu Akhera na Dunia,ili waweze kuajiriwa na serikali pale inapo tokea Fursa na wasibaki tu kulalamika kuwa Wakristo wanapendelewa kitu ambacho sio kweli!
Katibu mkuu mstaafu wa CCM Yusuph Makamba amewaasa waislamu kusomesha watoto elimu akhera na Dunia, ili waweze kuajiriwa na serikali ktk nafasi mbalimbali.
Amesema kuwa anashangaa Waislamu wakidai kuwa Serikali inawapendelea Wakristo huku wao (Waislamu) wengi wakiwa hawana elimu na kwamba nafasi za kazi haziwezi kugawanywa kama njugu hivyo ni lazima sasa waislamu wahakikishe wanasomesha watoto wao ili waweze kuwa na elimu ya kuweza kuajiriwa.
Source; Radio Free Afrika tuzungumze magazeti.
Katibu mkuu mstaafu wa CCM Yusuph Makamba amewaasa waislamu kusomesha watoto elimu akhera na Dunia, ili waweze kuajiriwa na serikali ktk nafasi mbalimbali.
Amesema kuwa anashangaa Waislamu wakidai kuwa Serikali inawapendelea Wakristo huku wao (Waislamu) wengi wakiwa hawana elimu na kwamba nafasi za kazi haziwezi kugawanywa kama njugu hivyo ni lazima sasa waislamu wahakikishe wanasomesha watoto wao ili waweze kuwa na elimu ya kuweza kuajiriwa.
Source; Radio Free Afrika tuzungumze magazeti.
Taja vyuo vinavyomilikiwa na wakristo au waislamu?
Makamba aseme waislam hawakusoma kipindi kipi?
Pia ataje ratio ya hao waislam wachache ambao wamesoma ndio ratio ya waislam kwenye ajira?
Yusuf makamba ndo mana waislam wanamwita joseph makamba kutokana na huu ujinga wake wa kuwakebehi waislam.
Hii takwimu makamba kaitoa wapi?
Mbona waislam walivyotaka kuweka hiki kipengele katika sensa wakristo na serikali yao walipinga.
Makamba acha kuwakebehi waislam, hii dunia tunapita tu!
kumbuka ipo siku utakufa na utahukumiwa kutokana na huu upuuzi unaofanya.
Makamba mbona hajasema kuwa NECTA ndio machinjio makuu ya waislam!
Muna tufunga kamba za miguu than munataka tukimbie tutaweza wapi ? Acheni siasa kwenye serious issue.