Makamba usipotoshe Nyanda za Juu Kusini hakuna ukame

Ameenda kupiga picha kwenye mito inayotiririsha maji kwa msimu halafu anatutangazia kuna ukame...

Jamaa sijui anatuanaje.

Si majuzi kati akaja na ile ya kusema watu walitishiwa wasifanye matengenezo kwa muda wa miaka mitano. Baada ya kuona hiyo kashtukiwa kaja na ya ukame. Sasa nayo wajuvi wamemkwida nayo. Sasa anabaki kusema mmh, mhm. Anabaki na kigugumizi.
 
Jana katika ziara ya Makamba alipotembelea mabwawa ya kuzalisha umeme alitoa taarifa akitaka kuaminisha umma kuwa tatizo la upungufu wa umeme nchini na kwa sababu ya ukame! Hii si kweli hata kidogo.

Kwa macho yake mwenyewe ameona bwawa la Mtera lina maji ya kutosha, na kwa kuthibitisha hilo meneja wa bwawa amemwambia maji yaliyopo yanatosha kuzalisha umeme kwa full capacity ya megawatt 80 kwa miezi 7 hata kama hakuna hata tone moja la mvua litanyesha.

Kama bwawa la Mtera limejaa maji, iweje bwawa la Kidatu likose maji? Kwa sababu moja ya sababu ya kujenga bwawa la Mtera ilikuwa kuhifadhi maji kwa ajili ya bwawa la Kidatu.

Aidha kwa taarifa zilizopo bwawa la Kihansi linatapika maji. Kwa maana hiyo mabwawa yote ya Mtera, Kidatu na Kihansi yana maji ya kutosha kuzalisha umeme kwa full capacity yao.

Kuhusu mvua ni kuwa mikoa ya Nyanda za Juu Kusini ina msimu mmoja wa mvua kuanzia Novemba/Disemba hadi April/Mei. Kwa hiyo huu ndiyo mwanzo wa msimu wa mvua, sasa huo ukame ni wa lini?

Hivyo namuomba Makamba afanye homework yake atafute nini chanzo cha upungufu wa umeme na siyo kusingizia maji. Maji yapo!
Makamba anafahamika, ni mtandao wa msoga line, hayo yote anafanya ni mkakati wa kutuhujumu masikini
 
Jana katika ziara ya Makamba alipotembelea mabwawa ya kuzalisha umeme alitoa taarifa akitaka kuaminisha umma kuwa tatizo la upungufu wa umeme nchini na kwa sababu ya ukame! Hii si kweli hata kidogo.

Kwa macho yake mwenyewe ameona bwawa la Mtera lina maji ya kutosha, na kwa kuthibitisha hilo meneja wa bwawa amemwambia maji yaliyopo yanatosha kuzalisha umeme kwa full capacity ya megawatt 80 kwa miezi 7 hata kama hakuna hata tone moja la mvua litanyesha.

Kama bwawa la Mtera limejaa maji, iweje bwawa la Kidatu likose maji? Kwa sababu moja ya sababu ya kujenga bwawa la Mtera ilikuwa kuhifadhi maji kwa ajili ya bwawa la Kidatu.

Aidha kwa taarifa zilizopo bwawa la Kihansi linatapika maji. Kwa maana hiyo mabwawa yote ya Mtera, Kidatu na Kihansi yana maji ya kutosha kuzalisha umeme kwa full capacity yao.

Kuhusu mvua ni kuwa mikoa ya Nyanda za Juu Kusini ina msimu mmoja wa mvua kuanzia Novemba/Disemba hadi April/Mei. Kwa hiyo huu ndiyo mwanzo wa msimu wa mvua, sasa huo ukame ni wa lini?

Hivyo namuomba Makamba afanye homework yake atafute nini chanzo cha upungufu wa umeme na siyo kusingizia maji. Maji yapo!
Huyu jamaa mshamba sana pamoja na kujifanya smart enough,kajikoroga sana toka ameingia hii wizara ,inabidi arudi kwa sangoma wake tena,ni full utapeli wa wazi mchana kweupee!
 
Acha kuwa mvivu. Mito Chumala na Kimani ndo chanzo cha Mto Ruaha Mkuu ikiwa ni pamoja na Mto Ndembera toka mafinga. Mito hii ndo inayotegemewa pia kwa shughuli za Umwagiliaji hapa Mbarali. Hadi muda huu vibali vya kufungua maji havipo kutokana na udogo wa maji mitoni. Acheni kushabikia uwongo. Hiyo mvua ya Tukuyu unayoisema haijaweza kuleta hata maji mitoni. Nenda Ruaha National Park uone jinsi wanyama wanavyohangaika kupata maji. Nenda Ruaha Mbuyuni uone kiasi cha maji kinachopita ndani ya Mto Ruaha. Msiwe mnashiba maharage jana na kuja kujamba jamba huku.
Mabwawa Yana Akina ya maji kujiendesha miezi sita hata Kama hakuna nvua kabisa,usitutie majaribuni tafadhari.
 
Jana katika ziara ya Makamba alipotembelea mabwawa ya kuzalisha umeme alitoa taarifa akitaka kuaminisha umma kuwa tatizo la upungufu wa umeme nchini na kwa sababu ya ukame! Hii si kweli hata kidogo.

Kwa macho yake mwenyewe ameona bwawa la Mtera lina maji ya kutosha, na kwa kuthibitisha hilo meneja wa bwawa amemwambia maji yaliyopo yanatosha kuzalisha umeme kwa full capacity ya megawatt 80 kwa miezi 7 hata kama hakuna hata tone moja la mvua litanyesha.

Kama bwawa la Mtera limejaa maji, iweje bwawa la Kidatu likose maji? Kwa sababu moja ya sababu ya kujenga bwawa la Mtera ilikuwa kuhifadhi maji kwa ajili ya bwawa la Kidatu.

Aidha kwa taarifa zilizopo bwawa la Kihansi linatapika maji. Kwa maana hiyo mabwawa yote ya Mtera, Kidatu na Kihansi yana maji ya kutosha kuzalisha umeme kwa full capacity yao.

Kuhusu mvua ni kuwa mikoa ya Nyanda za Juu Kusini ina msimu mmoja wa mvua kuanzia Novemba/Disemba hadi April/Mei. Kwa hiyo huu ndiyo mwanzo wa msimu wa mvua, sasa huo ukame ni wa lini?

Hivyo namuomba Makamba afanye homework yake atafute nini chanzo cha upungufu wa umeme na siyo kusingizia maji. Maji yapo!
Kuna mstaafu anaogopa atakufa kama wenzake asumbua kutafuta pa kupiga kwa mara ya mwisho na sasa hivi atapiga pakubwa.Bundi wake yupo tanesco
 
Mabwawa Yana Akina ya maji kujiendesha miezi sita hata Kama hakuna nvua kabisa,usitutie majaribuni tafadhari.
Upo wapi wakati unaandika hizi pumba. Nenda ziara kuliko mabwawa na mito. Ukaja hapa hutakuwa unaandika kishabiki.
 
Hizo mvua za zinanyrsha kwenda angani. Acha kuwa wavivu wa fikra. Hayo maji mbona hapa mbarali hatuyaoni mito ikijaa.
Tukuyu kuna ukame we jamaa acha kuchekesha watu, Tukuyu ipi unayoisema.

Tofautisha kati ya ukame na uhaba wa mvua.
 
Mkuu sasa tukuamini wewe ama tumwamini Waziri - na kama anaendelea kuwa ofisini hadi muda huu maana yake Mamlaka yake ya uteuzi (Rais) imeridhika na utendaji wake wa kazi.
Kuwepo kwake ofisini hadi leo ni kwa sababu huenda Mamlaka yake ya uteuzi ina maslahi fulani na pia siyo vizuri kutengua kila wakati. Kumuonya na kumpa muda wa kujirekebisha kunaweza kufaa zaidi!
 
Kuna ukame nchi nzima. hata kule Tukuyu na Kitulo Njombe kuliko chanzo cha Great Ruaha hakuna mvua.
Mvua za huko nyanda za juu kusini, Mtwara, Ruvuma - zina anza week ya mwisho ya November! Sehemu hizo zina msimu mmoja (unimodal), tofauti na Dar, Pwani, Tanga, Kil, Arusha na lake zone zenye misimu miwili (OND - VULI) na (MAM - MASIKA) (bimodal).
 
Back
Top Bottom