sheiza
JF-Expert Member
- Sep 29, 2010
- 7,541
- 11,398
Mi kura yangu ya mwanzo na mwisho kwa ccm ilikuwa kwa Magu tu. Kabla sikuwahi jua kama nitapigia hiko chama kura. Na kifo cha Magu kimehitimisha kupigia kura green colour.Wataelewa tu.....kura yangu ya mwisho kupiga ilikuwa kwa JPM....kilichobaki ni kuwa ndugu mtazamaji.