Makamba ni mpumbavu asie na huruma na maisha ya watanzania masikini.
Uchaguzi umekwisha ingekua wakati muafaka sasa wakuweka mikakati ya kumpunguzia mwananchi mzigo wa umasikini alio twikwa na CCM yeye anaelekeza wabunge na madiwani wa CCM walio kataliwa na wananchi wafungue kesi mahakamani na chama kita gharamia gharama za kesi .kwanini hizo pesa zisitumike kwa kazi zingine za maendeleo ya taifa letu uchaguzi umekwisha huu ni wakati wa kusonga mbele
Uchaguzi umekwisha ingekua wakati muafaka sasa wakuweka mikakati ya kumpunguzia mwananchi mzigo wa umasikini alio twikwa na CCM yeye anaelekeza wabunge na madiwani wa CCM walio kataliwa na wananchi wafungue kesi mahakamani na chama kita gharamia gharama za kesi .kwanini hizo pesa zisitumike kwa kazi zingine za maendeleo ya taifa letu uchaguzi umekwisha huu ni wakati wa kusonga mbele