Amesema kama tatizo ni nyumba aende ataimalizia huko huko.
Mytake: Kwa uelewa wangu Makamba ni baadhi ya viongozi waanzilishi wa mchakato wa kuhamia Dodoma, mbona wao hawakuonyesha mfano wa kutangulia?
Kutoka magazetini.
Mzee Makamba.Makamba baba au January?
1800 au 2300?Ameropoka huyo, mimi pamoja na kuwa ukawa lakini waziri mkuu namuheshimu sana, kwanza hana tabia ya kutoa matamko yenye utatanishi