Makamba: Kurekebisha alichofanya Hayati Magufuli sio usaliti. Dalili nilizoanza kuziona si nzuri

Wanao sema lazima Mama atekeleze na kufuata sera za Magu, kisa Mama alikuwa kwenye utawala wa Magu wana kosea.

Magu alikaa kwenye utawala wa Ben, akakaa kwenye utawala wa Jk tena kwa kipindi kirefu sana.

Baada ya kuwa raos, hatukuwahi kusikia wabunge wakilazimisha Jpm afuate sera za Jk kwenye utawala wake. Zaidi tulisikia wakimzodoa wao na huyo mwendazake.

Hebu wabunge amakeni. Eleweni sasa Rais wa Tanzania ni Mama Samia na sio Hayati Jpm. Na sera zake sio lazima ziwe sawa na za Marehemu.

Kama mnaona hamuwezi sera zake nanyi kufeni mkafanye kazi na Magu huko aliko. Msituharibie amani ya nchi yetu kwa tamaa zenu.
 
Maneno mazuri sana January kaongea

Kushindana kuonyesha nani ni mnazi zaidi wa rais Magufuli is useless, this man is dead na harudi tena.

Na kushibdana kuonyesha nani ni mnazi zaidi wa rais Samia ni kupoteza muda, kwa sababu Samia keshasoma gemu lote anajua nini maana ya kupakwa mafuta kwa mgongo wa chupa!

Cha msingi ni kuwa turudi kujenga nchi kwa kutumia watu waliotosha kwa vigezo na siyo wanaojua sana kushangilia, kusifu na kujipendekeza.

Samia ana kazi kubwa ya kutengeneza serikali inayoendana na yeye na vision yake kwa nchi, hana budi kuondoa wale wote walioingia kwenye serikali kwa kununuliwa, kujipendekeza, uzandiki na fitna.

Aweke wataalamu huko kwenye kurugenzi za halmashauri na aachane na ukada
Jomba umetisha kwa hoja
 
January Makamba amesema siyo kweli kwamba kila anayemsifia Rais Samia anatafuta cheo au uteuzi.

Na kwamba hakuna mnazi wa Magufuli wala mama Samia bali CCM ndio inayowaunganisha

Tena makundi, vigenge na viringe vinavyotafuta ushawishi kwa Rais Samia havina maana yoyote.

Ramadhan Kareem!
 
Kuna watu wana akili fupi sana!

Kuna wakati hata mimi niliambiwa eti natafuta uteuzi toka kwa Magufuli!

Kibinafsi sikumjua na yeye wala hakunijua.

Sasa ndo aje kuniteua mimi kwa kunisoma tu JF??

Akili za nyumbu bana...wanazijua wenyewe tu.

Yaani Magufuli akose wote anaowajua huko halafu aje JF na kusoma baadhi ya mabandiko ya Nyani Ngabu akimsifia, halafu eti amteue.

Kwanza anaanza anzaje? Ananitumia PM au?
 
AlichofanikiwaJpm ni kushika bongo za wabongo wengi na nikitu ambacho wakoloni waliweza sana,kuhubiri neno watanzania Wanyonge lilikuwa na athari sana kwa wabongo wengi.Bado wengi wanajiona Wanyonge,hawawezi kufikiria wakiwa huru na kuamua wakiwa huru bila ya aliyekuwa anawaongoza kuwepo
 
Hakuna anayesema Magufuli alikuwa Malaika. Lakini kutumia mwanya wa kuondoka kwake kuturudisha kwenye corruption ya wazi; ukwepaji kodi; uwekezaji holela wa wazungu n.k sio sawa. Tumeishatoka uko. Tumkosoe kwa mambo ya msingi kama kuweka mazingira rafiki ya biashara, kuongeza ajira na kuongeza demokrasia n.k. bila kusahau lengo ni kupeleka nchi mbele.
Yey mwenyew alikua corrupt mkubwa tu
 
Mama kajichanganya mwenyewe, watu walishauri avunje Baraza lote la mawaziri.
Aanze upya,sijui kakutana na Nini huyu mama.
Kosa hili litamgharimu Sana.

Mwisho wa siku naiona aibu ikimpata
Masta mind wa hili ni PM wake na makamu wa Rais hawa ni wakufuza (PM)na makamu wa Rais ni kumblack mail,
 
Mama kajichanganya mwenyewe, watu walishauri avunje Baraza lote la mawaziri.
Aanze upya,sijui kakutana na Nini huyu mama.
Kosa hili litamgharimu Sana.

Mwisho wa siku naiona aibu ikimpata
Hakuna tatizo. Rudini kwenye ilani na chama, achaneni na mtu. JPM harudi ila ilani ya chama tawala ipo.
 
Back
Top Bottom