LESIRIAMU
JF-Expert Member
- Feb 12, 2008
- 8,721
- 13,959
Wanao sema lazima Mama atekeleze na kufuata sera za Magu, kisa Mama alikuwa kwenye utawala wa Magu wana kosea.
Magu alikaa kwenye utawala wa Ben, akakaa kwenye utawala wa Jk tena kwa kipindi kirefu sana.
Baada ya kuwa raos, hatukuwahi kusikia wabunge wakilazimisha Jpm afuate sera za Jk kwenye utawala wake. Zaidi tulisikia wakimzodoa wao na huyo mwendazake.
Hebu wabunge amakeni. Eleweni sasa Rais wa Tanzania ni Mama Samia na sio Hayati Jpm. Na sera zake sio lazima ziwe sawa na za Marehemu.
Kama mnaona hamuwezi sera zake nanyi kufeni mkafanye kazi na Magu huko aliko. Msituharibie amani ya nchi yetu kwa tamaa zenu.
Magu alikaa kwenye utawala wa Ben, akakaa kwenye utawala wa Jk tena kwa kipindi kirefu sana.
Baada ya kuwa raos, hatukuwahi kusikia wabunge wakilazimisha Jpm afuate sera za Jk kwenye utawala wake. Zaidi tulisikia wakimzodoa wao na huyo mwendazake.
Hebu wabunge amakeni. Eleweni sasa Rais wa Tanzania ni Mama Samia na sio Hayati Jpm. Na sera zake sio lazima ziwe sawa na za Marehemu.
Kama mnaona hamuwezi sera zake nanyi kufeni mkafanye kazi na Magu huko aliko. Msituharibie amani ya nchi yetu kwa tamaa zenu.