Makamba kafungwa mdomo?

Zee la shamba

Member
Oct 17, 2007
55
3
Toka uchaguzi wa Halmashauri kuu ya ccm(NEC)uishe huko Dodoma Makamba amekuwa kimya sana kitu ambacho si kawaida yake. Ni kitu
gani kimemsibu? Mwenye taarifa zake namuomba atuwekee hapa JF.
 
Toka uchaguzi wa Halmashauri kuu ya ccm(NEC)uishe huko Dodoma Makamba amekuwa kimya sana kitu ambacho si kawaida yake. Ni kitu
gani kimemsibu? Mwenye taarifa zake namuomba atuwekee hapa JF.

NI kweli mkuu,

inabidi tuanze kutafuta sababu za ukimya huu, asante kwa kukumbusha.
 
Lakini hata Katibu mustaafu wa CCM kulikoni? Naona amaanza kulost huko Iringa, naye vipi mbona kazimia? au ndio hivyo waswahili wanaita kuporomoka kisiasa!
Makamba nafikiri alikuwa bado anajiweka sawa hasa kujiimarisha na uongozi mpya wa sasa ambao una changamoto kali. Nina imani tutamsikia tu. Nafikiri leo au kesho ananguruma Zanzibar. Juzi alikuwa kwenye mkutano wa muafaka wa ccm na cuf huko bagamoyo. Ninajua bado anayakusanya makombora. Kikwete anampenda sana yule mzee.
 
Back
Top Bottom