Mpaka Kieleweke
JF-Expert Member
- Feb 27, 2007
- 4,132
- 1,571
Kwa mujibu wa Tangazo la Spika mchana wa leo ni kuwa jioni hii mbunge wa Viti maalum MH.Yusuph Rajabu Makamba ,na kwa mujibu wa tangazo hilo spika alisema kuwa kuna wabunge watatakiwa kusafisha njia na Makamba atakuwa mtu wa tano kuchangia.
Sasa kuna haja ya kujua mbunge huyu wa viti maalum atachangia nini kwa mara ya kwanza tangu aingie kwenye Bunge .
Leo ni siku ya hotuba ya kilimo hivyo huenda anakuja kutueleza kuwa ILANI iliposema kuwa kilimo kitakuwa kwa asilimia 20 ifikapo 2010 ilikuwa na maana gani.
Nawatakia kulifuatilia bunge kwa umakini ili kujua huyu atachangia kitu gani.
Atasema kuwa Zanzibar ni nchi?
Atasema kuwa Nnape alichemka?
Sasa kuna haja ya kujua mbunge huyu wa viti maalum atachangia nini kwa mara ya kwanza tangu aingie kwenye Bunge .
Leo ni siku ya hotuba ya kilimo hivyo huenda anakuja kutueleza kuwa ILANI iliposema kuwa kilimo kitakuwa kwa asilimia 20 ifikapo 2010 ilikuwa na maana gani.
Nawatakia kulifuatilia bunge kwa umakini ili kujua huyu atachangia kitu gani.
Atasema kuwa Zanzibar ni nchi?
Atasema kuwa Nnape alichemka?
Last edited by a moderator: