Du!!!!!Muda huo anautoa wapi? Na je, huyo babu anajua hata maana ya ku click?
Karani CCM Anasurf?..Lol! Hilo nalo la kuweka kwenye mafanikio ya CCM 2010-2015!....
Huenda sio utani ni kweli...Inafaa zaidi kwenye utani hii!
ataku PM Shimbo ajifanye huyo dada.Noma kumbe na Makamba yumo humu? huwa na namtafuta sana! Makamba hebu ni MP tuchat machache msee!:horn:
Jumatano tarehe 19/1/2011 MAKAMBA aliingia ofisini yapata saa nne kasaro asubuhi.Fatuma Wenseslaus karani alikuwa bize akituma ujumbe kwenye komputa.Babu makamba kuchungulia akaona ilikuwa ni kwenye page ya jamii forum.
Makamba:unaandika nini?Fatuma:sio chochote huku akiifunga ile page kwa haraka.Makamba: fungua taja jina unalotumia hapo JF, Fatuma akagoma kwa sababu alishamponda bosi wake hapa JF.
Makamba akampa siku tatu yule dada ampe jina lake hapa Jf, niliwahi kuombwa na mtu anayefahamia fika na Fatuma nimpe jina langu au la memba nimjuaye nikashindwa manake memba wengi wameshamkwaruza makamba kwa hiyo jina langu lingemtapisha Makamba.Fatuma ameambiwa asizikaribie tena ofisi za makao makuu CCM
Good point, makamba anajua hii makitu au anasikia tu!Yeye alikutwa ana post, Guest hana rights za kupost!! Makamba naye anajua internet jamani...........
Hivi ajira za ccm hazifuati sheria za kazi na taratibu za kawaida za ajira? How comes, simply mtu anamwambia mfanyakazi asikaribie eneo lake la kazi kirahisi hivyo?
Hivi ukipata jina la mwana-JF linasaidia nini kama hujui.........his true identity?
halafu sioni ni vipi Makamba akaenda kwa mchapa mashine na amzunguke kwenye kiti chake hadi kuona anachochapa kabla ya nhusika hajafunga ile site...................................................I find the whole story more of a fabrication than a depiction of the truth................
Kama alikuwa ni mwjiriwa anipm nimpe the way forward ya kudai damages 4 unfair termination.Jumatano tarehe 19/1/2011 MAKAMBA aliingia ofisini yapata saa nne kasaro asubuhi.Fatuma Wenseslaus karani alikuwa bize akituma ujumbe kwenye komputa.Babu makamba kuchungulia akaona ilikuwa ni kwenye page ya jamii forum. Makamba:unaandika nini?Fatuma:sio chochote huku akiifunga ile page kwa haraka.Makamba: fungua taja jina unalotumia hapo JF, Fatuma akagoma kwa sababu alishamponda bosi wake hapa JF. Makamba akampa siku tatu yule dada ampe jina lake hapa Jf, niliwahi kuombwa na mtu anayefahamia fika na Fatuma nimpe jina langu au la memba nimjuaye nikashindwa manake memba wengi wameshamkwaruza makamba kwa hiyo jina langu lingemtapisha Makamba.Fatuma ameambiwa asizikaribie tena ofisi za makao makuu CCM