friendsofjeykey
Senior Member
- Aug 12, 2010
- 129
- 13
Makamba kashikwa pabaya na Omari Kimbau. Kalazimisha uchaguzi urudiwe kwenye makao makuu ya Kisiwa cha Mafia mpaka MPWA WAKE bwana OMARI KIMBAU kapita kwa kura tano huku watu zaidi ya 50 wakizuiwa kupiga kura na cha kuchekesha zaidi ni kuwa MJUMBE WA KAMATI YA SIASA naye hakuweza kupiga kura kisa? JINA LAKE HALIMO!
Huyu huyu Omari Kimbau ndiye aliyekuwa anagawa pesa kama njugu hapa kisiwani na baadae akawa anatoa amri kwa polisi kukamata watu ovyo kisa ni wapinzani wake wa kisiasa.
Yusuf Makamba na Mama yake Omari Kimbau ni ndugu na sisi watu wa Kisiwa hichi tunashangaa kwa nini aismtafutie huyu Omari jimbo huko Tanga kama alivyomtafutia January kule Bumbuli?
Hivi sisi watu wa Mafia tumekufanyia nini mpaka ultulipe kwa hili ulilotufanyia wewe Makamba?
Taarifa ni kuwa CCM mkae mkijua kuwa jina la Omari likipita sisi tunawapa jimbo hili CUF maana hata CHADEMA hatuwaoni.
Huyu huyu Omari Kimbau ndiye aliyekuwa anagawa pesa kama njugu hapa kisiwani na baadae akawa anatoa amri kwa polisi kukamata watu ovyo kisa ni wapinzani wake wa kisiasa.
Yusuf Makamba na Mama yake Omari Kimbau ni ndugu na sisi watu wa Kisiwa hichi tunashangaa kwa nini aismtafutie huyu Omari jimbo huko Tanga kama alivyomtafutia January kule Bumbuli?
Hivi sisi watu wa Mafia tumekufanyia nini mpaka ultulipe kwa hili ulilotufanyia wewe Makamba?
Taarifa ni kuwa CCM mkae mkijua kuwa jina la Omari likipita sisi tunawapa jimbo hili CUF maana hata CHADEMA hatuwaoni.