SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 43,707
- 60,753
Ukiona hivyo ujuwe kisu kimefika kwenye mfupa. Mwaka huu CCM hawana pa kutokea , mipango ya kuchakachua imewekwa peupe, hawawezi kuitumia tena kwani wazalendo walioko UWT wametimiza wajibu wao kwa taifa na siyo kwa fisadi JK na genge lake, viongozi wa dini nao wameamua kusimama katika zamu zao kuona kuwa mpango wa Mungu wa kuwafanya watz waishi maisha bora unatimia kwa kupata viogozi wadilifu wenye maono na upendo kwa nchi na watu wake.CCM wameamua kutumia JWTZ kupitia makamanda wao wachovu wa kufikiri kama Shimbo kufanya mapinduzi. Ndiyo maneno ya Sumaye yanatimia kuwa anayeingia madarakani kwa kutumia kalamu atatumia bunduki kuendelea kubaki madarakani.Mungu wetu ni mwema , hamfichi mnafiki, Kikwete na genge lake sasa wako uchi .KATAA UFISADI NA UMASIKINI , CHAGUA CHADEMA, CHAGUA DR. SLAA KUWA RAIS WA TANZANIA, ACHANA NA CHAMA CHA MAJINI(CCM),ACHANA NA WAGONJWA WANAOANGUKA ANGUKA