minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 21,635
- 20,365
Hivyo siyo vigezo vya ununuzi wa covid 19 kwanza ni matumizi ya pesa za walipa kodiWamepata walichostahili. Kama kiungo cha mwili kikibainika kuambukizwa kansa na ukaamua kutokatwa(mf.kidole) kwa vile unakipenda na utaharibu "formula",yatakayokupata ni chaguo lako.
Hao ni kansa kwa CDM! Kama ni lulu ccm wawakumbatie.Mbona mlipokea makapi mengine kama waitara,lijualikali na kadhalika? Kuondoka CDM hakuwafanyi wakose sifa ya u-Tanzania.Ila CDM hao ni outcasts! Watakaseni.