Mzee wa Rula
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 8,171
- 3,346
Katika kuhakikisha wanautumia muda uliobakia ipasavyo, makamanda wa CDM wakiongozwa na Vicent Nyerere, Mchungaji Msigwa na madiwani baadhi kutoka Moshi saizi wapo kijiji cha Kitefu - Maji ya Chai kuwasihi wananchi siku ya Jumapili tarehe 01.04 hawafanyi makosa zaidi ya kumchagua Joshua Nassari.
Picha zitawekwa baadae wakuu, hivyo mvute subira.
Picha zitawekwa baadae wakuu, hivyo mvute subira.