Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,166
- 4,581
Makamanda wenzangu twendeni Muhambwe tukajazane majukwaani tuhakikishe CCM inashinda kwa kishindo kikuu.
CCM ya sasa imebadilika ndio tuliokuwa tunaitaka. CCM ya sasa inatoa uhuru wa kujieleza. CCM ya sasa haina watekaji. Haina mafisadi Hii ndio tuliokuwa tunaitaka.
Shime makamanda wa kike na kiume mkavae madila na mashati ya CCM na kuipigia Kampeni maana hii ya sasa ni bora kuliko hata CCM yetu.
CCM ya sasa imebadilika ndio tuliokuwa tunaitaka. CCM ya sasa inatoa uhuru wa kujieleza. CCM ya sasa haina watekaji. Haina mafisadi Hii ndio tuliokuwa tunaitaka.
Shime makamanda wa kike na kiume mkavae madila na mashati ya CCM na kuipigia Kampeni maana hii ya sasa ni bora kuliko hata CCM yetu.