Yule rpc aliyesababisha matatizo makubwa huko arsha kwa ajili ya kujikomba hatimaye amehamishiwa kwenye kitengo kipya makao makuu ya polisi dsm. Nafasi yake imechukuliwa na rpc liberatus anayetokea manyara kuja hapo arusha. Ni matumaini kuwa liberatus kama jina lake lilivyo atakuwa liberal na kutenda haki
source: Magazeti mengi ya leo jumapili
source: Magazeti mengi ya leo jumapili