johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,779
- 141,667
Nguvu ya Umma au peoples power kinadharia hutumiwa sana na Chadema lakini waliwahi kuitumia kivitendo wakati fulani tukashuhudia kifo cha binti asiye na hatia.
Ninafuatilia kinachoendelea Marekani kupitia luninga ya Al-Jazeera kiukweli sijaelewa kama hii ndio nguvu ya Umma wanayoiamini Chadema...... au ndio peoples power inayohofiwa na Polisi.
Niwaombe makamanda mkieemo Tindo, Allen Kilevela, mmawia, G.sam, Mrangi nk mkuje mnipe darasa kidogo mnapozungumzia nguvu ya Umma mnamaanisha nini?
Nawatakia Pentecoste yenye baraka.
Maendeleo hayana vyama!
Ninafuatilia kinachoendelea Marekani kupitia luninga ya Al-Jazeera kiukweli sijaelewa kama hii ndio nguvu ya Umma wanayoiamini Chadema...... au ndio peoples power inayohofiwa na Polisi.
Niwaombe makamanda mkieemo Tindo, Allen Kilevela, mmawia, G.sam, Mrangi nk mkuje mnipe darasa kidogo mnapozungumzia nguvu ya Umma mnamaanisha nini?
Nawatakia Pentecoste yenye baraka.
Maendeleo hayana vyama!