Tumaini Makene
JF-Expert Member
- Jan 6, 2012
- 2,642
- 6,070
Makamanda wawili, Godbless Lema na Vincent Nyerere kesho wataanza kuishambulia Musoma. Bila shaka Watanzania wa Musoma kesho watanufaika na M4C.
Itakumbukwa kuwa Vincent alikuwa na ziara ya siku kadhaa mkoani Geita na mkoani Mwanza, ambako amefanya mikutano hadhara, kukagua uhai na ujenzi wa chama. Hivyo atakuwa anatokea ziara sehemu nyingine za Tanzania.
Kesho watu wa Musoma watashiba aisee.
Picha kwa hisani ya Kiganyi
Itakumbukwa kuwa Vincent alikuwa na ziara ya siku kadhaa mkoani Geita na mkoani Mwanza, ambako amefanya mikutano hadhara, kukagua uhai na ujenzi wa chama. Hivyo atakuwa anatokea ziara sehemu nyingine za Tanzania.
Kesho watu wa Musoma watashiba aisee.
Picha kwa hisani ya Kiganyi