samilakadunda
JF-Expert Member
- Oct 13, 2011
- 1,780
- 354
Hapo namba 2 umechemka kwa sababu UDOM na vyuo vingine nchini hakuna CDM. Wanafunzi wote ni CCM kwa sababu ya njaa ya bumu.
kakwambia nani? hujasoma chuo wewe, nakamaumesoma ni miaka ya akina nyerere na mkapa. nenda kajionee sasa masisie wanavozomewa.