johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,614
- 141,437
Kuwaondoa wamachinga kwa utaratibu wa sasa hakuwezi kuisafisha Dar es salaam kwa sababu machinga hawataondoka.
Ni heri upekue mafaili hapo ofisini kwako ukilipata lile la " Operesheni Nguvu Kazi" wakati wa RC John Mhaville lisome taratibu linaweza kuwa la msaada kwako.
Nawatakia Sabato yenye baraka!
Ni heri upekue mafaili hapo ofisini kwako ukilipata lile la " Operesheni Nguvu Kazi" wakati wa RC John Mhaville lisome taratibu linaweza kuwa la msaada kwako.
Nawatakia Sabato yenye baraka!